Elimu ya kidigitali ya Vodafone Foundation kuwanufaisha watoto 15,000 katika kambi za wakimbizi
![](http://3.bp.blogspot.com/-V-1COgqZ8ys/VPSbNZ0ZzBI/AAAAAAAHHLI/h4o_3J7xYRU/s72-c/Q1.jpg)
Taasisi ya Vodafone Foundation leo imetangaza kuwa mpango wake wa kutoa elimu kidigitali umewezesha jamii zinazoishi kwenye mazingira magumu yanayosababishwa na majanga mbalimbali na kujikuta zikiishi kwenye kambi za wakimbizi kuweza kupata elimu.
Mpango huu wa unatekelezwa katika maeneo yenye mazingira magumu ambako kuna matatizo ya kutokuwepo nishati ya umeme na upatikanaji wa mawasiliano hususani ya mtandao wa interneti na umeweza kutekelezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZDI3KE2H-XE/VPQQccPSNqI/AAAAAAAHG5o/vLKBc8WCeKw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Elimu ya kidigitali ya Vodafone Foundation kuwanufaisha watoto 15,000 katika kambi za wakimbizi: kutekelezwa Tanzania,Kenya na DRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZDI3KE2H-XE/VPQQccPSNqI/AAAAAAAHG5o/vLKBc8WCeKw/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
Mpango huu wa unatekelezwa katika maeneo yenye mazingira magumu ambako kuna matatizo ya kutokuwepo nishati ya umeme na upatikanaji wa mawasiliano hususani ya mtandao wa interneti na umeweza kutekelezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa...
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).
Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Wakimbizi wauawa katika kambi ya UN
9 years ago
MichuziIDADI YA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI YAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU
9 years ago
Michuzi12 Oct
TAASISI YA MANJANO FOUNDATION WAENDELEA KUWANUFAISHA WANAWAKE
![](https://mmi111.whatsapp.net/d/uT3ZLf1yuF7Z0CbS62U2Z1YX8mM/AqPJxU2e7NR9qq4BW6b20jBsg3Jr_Y0NXnGA2xODkSfs.jpg)
9 years ago
VijimamboTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - IDADI YA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI YAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU
9 years ago
VijimamboZOEZI LA KUGAWA CHAKULA LAENDELEA KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI WAENDELEA KUWASILI KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA