Evans na Cisse kuadhibiwa kwa kutemeana Kohozi
Jonny Evans na Papiss Cisse huwenda wakaadhibiwa vikali baada ya kutemeana makohozi katika mechi ngumu baina yao jana usiku
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
FA:Cisse na Evans kutocheza mechi 7
10 years ago
BBC
Evans and Cisse banned for spitting
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Cisse,Evans wapewa muda kujitetea
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Cisse na Evans watemeana mate uwanjani
10 years ago
BBC
Evans & Cisse 'must get spit bans'
10 years ago
Mtanzania06 May
Pacquiao kuadhibiwa kwa udanganyifu
LAS VEGAS, MAREKANI
BONDIA Manny Pacquiao anaweza kufungiwa au kupigwa faini na viongozi wa Kamisheni ya Ngumi Nevada kwa kushindwa kuweka wazi majeraha ya bega kabla ya pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather Jr.
Alfajiri ya Jumapili Mfilipino huyo alipigwa na Mayweather kwa pointi kwenye pambano la karne lililofanyika Las Vegas, lakini baadaye Pacquiao alisingizia alipata maumivu ya bega mazoezini yaliyomfanya kushindwa kutumia vema mkono wake wa kushoto.
Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo,...
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
Mbunge kuadhibiwa kwa kusifu serikali ya ubaguzi wa rangi
11 years ago
Michuzi
EVANS AVEVA AMALIZA KAMPENI ZA URAIS SIMBA KWA KISHINDO


10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Mwanablogu aliyetusi uislamu kuadhibiwa