EVELYN BAASA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA PHOTOGENIC 2014
Miss Tanzania Photogenic 2014, Evelyn Baasa.
Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora ya Redd’s Miss Tanzania Photogenic 2014, wakiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa taji hilo, Evelyn Baasa (katiakti) jana. Wengine kutoka kushoto ni Nicole Sarakikya, Lilian Kamazima, Lilian Timothy na Dorice Mollel.
Warembo wakilisakata rumba kabla ya kuatangzwa kwa matokeo hayo.
Baadhi ya warembo wakipiga picha ya pamoja na mshindi huyo wa Taji la Miss Tanzania Photogenic 2014
Father Kidevu...
Vijimambo