Ex wa Ludacris aponda ndoa yake na Eudoxie, asema ni ujanja wa kutaka kumchukua mtoto waliyezaa
Wakati Ludacris na mke wake Eudoxie, raia wa Gabon wanaendelea kufurahia fungate lao, mwanamke aliyezaa na rapper huyo, Tamika Fuller amedai kuwa mzazi mwenzie huyo amefunga ndoa ili kujiwekea mazingira ya kumchukua mtoto wao. Luda na Tamika wana mtoto wa kike mwenye mwaka mmoja aitwaye, Cai. Tamika anahofia kuwa nyumba yenye furaha ya Ludacris itampa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oCcq6Ci9RxY/default.jpg)
10 years ago
GPL25 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4ZQ2sxZJKX5Vgzf*YhoYIp2UfKlttxoq2UiO86n5B35XMrLPDxrQhilB4DXm9lHzmM0SfHSt8h019Z*j3wbl*o/Luda1.jpg?width=650)
LUDACRIS AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE RAIA WA GABON
10 years ago
Vijimambo07 Jan
LUDACRIS AFUNGA NDOA NA FAB MPENZI WAKE RAIA WA GABON
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX4ZQ2sxZJKX5Vgzf*YhoYIp2UfKlttxoq2UiO86n5B35XMrLPDxrQhilB4DXm9lHzmM0SfHSt8h019Z*j3wbl*o/Luda1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6xKj8MmUNoAFoIDv8rz4bBJCvoKNB9QhWq46xACqqhuKezVKlulKrFkZRPrH3CS*W3l8fL9RlK3ONO1W3E7Bpd/Luda3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6rKjGPoiP4qIg4FGLoFzTkil2*d7iTeCq9gOixoX-Zt6ZGq4PgVRtGmHSrBERvUg1TL4TNBaWroTzNQxdt-Ddp/Luda4.jpg)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX4odC*nhDu21nhxcFVibiztJMrWWwCmf38aXhGJTTn3Bih0mNfHVboA2ooD4HGpiSNqe0vK2RSuaI8rZKBxaZu3/Luda5.jpg?width=600)
MWANAMUZIKI na mwigizaji Ludacris (37) sasa ni mume wa mtu, alifunga ndoa kwa siri katika msimu wa Sikukuu za Krismasi mwaka jana. Jumanne ya wiki hii wanandoa hao wameshare...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Atupa mtoto wa siku moja kulinda ndoa yake
MTOTO wa kike mwenye umri wa siku moja amenusurika kufa baada ya kuokolewa na wasamaria kutoka katika shimo alimotupwa na mama yake mzazi.
9 years ago
Bongo528 Oct
Video: Young Dee — Ujanja Ujanja
9 years ago
Bongo529 Oct
Music: Young Dee — Ujanja Ujanja
10 years ago
Bongo Movies25 Jun
Faiza Akata Rufaa Dhidi ya Ushindi wa Sugu, Asema Atamlea Mtoto Wake na Kuvaa Mavazi Yake!
Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally aliyekuwa mchumba wa mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amekata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa hivi juzi ambayo ilimpa ushindi Sugu na hivyo kumchukua mtoto (Sasha) baada ya Faiza kuonekana kuwa ana muharibu mtoto kutokana na tabia zake ususani mavazi.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Faiza mbali na kuelezea rufaa yake ameeleze pia masikitiko yake kutokana na baadhi ya watu kumshabulia kwa maneno makali juu ya mavazi yake...
10 years ago
Bongo507 Jan
Picha: Ludacris afunga ndoa na mpenzi wake raia wa Gabon siku hiyo hiyo aliyomchumbia