Halmashauri Manispaa ya Ilala yapiga marufuku Jeshi la Polisi na Tambaza Action Mart kukamata magari ya tani 3
Meya wa Manispaa ya Ilala Bw. Jerry Silaa akiongoza kikao cha Baraza la Madiwani (hawapo pichani).
Tamko la Manispaa ya Ilala
Halmashauri ya manispaa ya Ilala kupitia kikao chake cha Baraza cha tarehe 12/9/2014 imepiga marufuku vitendo vinavyofanywa na halmashauri ya jiji la Dar es salaam na mawakala wake wa Tambaza auction mart na askari wa jeshi la polisi kuwakamata wananchi wenye magari ya mizigo ya chini ya tani tatu na robo na kuwakatia vibali vya shilingi 500,000 kwa mwaka kinyume cha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aLy_5cWFVy0/UyKmwMpUg6I/AAAAAAACcXE/XA4ECrq4Uqw/s72-c/IMG_8818.jpg)
JESHI LA POLISI LAWAHAKIKISHIA ULINZI NA USALAMA WANAKALENGA SIKU YA UCHAGUZI ,YAPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA CHOPA .!
![](http://1.bp.blogspot.com/-aLy_5cWFVy0/UyKmwMpUg6I/AAAAAAACcXE/XA4ECrq4Uqw/s1600/IMG_8818.jpg)
Ndugu waandishi wa habari , kwa niaba ya askari Polisi wa Mkoa wa Iringa, nitumie fursa hii...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Tambaza Auction Mart yalalamikiwa
DHULUMA na ubabe unaodaiwa kufanywa na wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart ya jijini Dar es Salaam, umelalamikiwa na baadhi ya wamiliki wa magari, hususan malori. Baadhi...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Nani wa kulaumiwa ubabe wa Tambaza Auction Mart?
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inastahili kubebeshwa lawama kuhusu dhuluma na ubabe wa wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart, wanaolalamikiwa na wamiliki wa magari, hususan...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...
10 years ago
Habarileo18 Sep
Polisi yapiga marufuku maandamano Chadema
JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini. Jeshi hilo limeonya kuwa maandamano hayo ni batili na ni kinyume cha sheria.
10 years ago
MichuziMSAMA AUCTION MART KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI WAKAMATA VIFAA MBALIMBALI VYA KUDURUFU KAZI ZA WASANII
![](http://1.bp.blogspot.com/-M8uRB7En_g4/VFc03luYLUI/AAAAAAACuOI/Hudz2WlrrJo/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F-Adb69MD94/VFc04GbUujI/AAAAAAACuOQ/c7lbHLDxzx0/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
Msama Auction Mart kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wakamata vifaa mbalimbali vya Kkdurufu kazi za wasanii
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani), moja kati ya mashine 4 za kurudufu CD feki zilizokamatwa katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Ofisa wa Polisi, D/SSGT Daniel Gingo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-M8uRB7En_g4/VFc03luYLUI/AAAAAAACuOI/Hudz2WlrrJo/s1600/1.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani), wino unaotumika kunakshia makasha ya CD feki wanazozitengeneza.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Polisi yapiga marufuku maandamano, mikutano ya kisiasa nchini
10 years ago
GPLMSAMA AUCTION MART KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI WAKAMATA VIFAA MBALIMBALI VYA KUDURUFU KAZI ZA WASANII