Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIVI NDIVYO MWIGULU NCHEMBA ALIVYOHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI HUKO GEITA,UWANJA UMETAPIKA

Mwigulu Nchemba akiwasili Uwanja wa MKutano Geita mjini.Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba yakiendelea kwa shamrashamra za kutosha.Hisia za Wananchi kwa Mwigulu Nchemba ambaye katika Bango moja wapo anasomeka kama SOKOINE WA PILI NCHINI TANZANIA.Sehemu ndogo tu ya Maelfu ya Wananchi waliofika Kumsikiliza mh:Mwigulu Nchemba.Kueleka 2015 haikukosa,Hizi ni hisia za Wananchi wanaokoshwa na Uchapakazi wa Mwigulu NchembaMwigulu akikaribishwa Geita kwa Mabango.Kiongozi wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO MWIGULU NCHEMBA ALIVYOTUA MBULU HII LEO,NI OPARESHENI "UMOJA NI USHINDI"


Mwigulu akisisitiza jambo kuhusu hujuma dhidi ya Dawa za Hospitali za Serikali zinavyotafunwa na Wachache ili hali wananchi wanahali ngumu.Mwigulu Nchemba akizungumza na Umati wa wakazi wa Mbulu waliofika Mchana waleo kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Mpira mbulu kusikiliza sera za Chama cha Mapinduzi kuelekea Uchaguzi wa serikali za Mitaa.CCM Oyeeeeeeeeeee!!!!Mh:Mwigulu nchemba akisalimiana na Wananchi wa Mbulu Mjini hii leo alipokutana nao kwenye Mkutano wa hadhara wa...

 

9 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA MKOA WA SIMIYU NA MAJIMBO YAKE(KATA KWA KATA) MWIGULU NCHEMBA AKIOMBA KURA ZA URAIS,UBUNGE NA UDIWANI

Hisia za Mwananchi katika maandishi "Magufuli Chaguo la Mungu".MwanaCCM akionesha kipeperushi cha Magufuli na Mama Samia Suluhu kuwa ndio Uongozi unaokwenda Kuchaguliwa na Watanzania.Wananchi wapotayari kuchagua CCM kwa nafasi zote tatu(Udiwani,Ubunge na Urais).Mwigulu Nchemba akiondoka Jimbo la Maswa Mashariki kumnadi Ndg.Nyongo mbunge mtarajiwa wa Chama cha Mapinduzi."CCM mambo yapo Poaaaa!!!"Mwigulu Nchemba akiwasili eneo la Mkutano akiwa na Mbunge wa Jimbo la Kisesa Ndg.Mpina.Mbunge...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ANAISHI HIVI NA WANANCHI WAKE KAMA KUMBI KUMBI

Comrade Mwigulu Nchemba akiwa amembeba Mtoto katika kijiji cha kaselya wakati alipotembelea kukagua Usambazaji wa Nguzo za Umeme na Waya Jimboni Iramba. Mh,Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Mama huyu Mlemavu wa Ngozi ambaye Mwigulu amekuwa akimsaidia katika Maisha yake,Hapa Mama huyu amebarikiwa kupata mtoto hivyo anamuonesha Mbunge wake hapa Iramba,Comrade Mwigulu Nchemba akimsikiliza Mwananchi wake mwenye Ulemavu katika kijiji cha Ndulungu Jimboni Iramba.Mh.Mwigulu Nchemba akipokea...

 

10 years ago

GPL

MWIGULU NCHEMBA AUTEKA MJI WA GEITA

Mwigulu Nchemba akiwasili Uwanja wa MKutano Geita mjini jana.
Comrade Mwigulu Nchemba mbaye ni Naibu katibu Mkuu CCM Bara akionesha Ishara ya Dole "Mambo Poa" wakati akiwasalimia wananchi wa geita hii jana.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Hivi ndivyo Magufuli alivyoitikisa Ruvuma, maelfu ya watu wajitokeza kumsikiliza

Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Songea waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Maji Maji mjini  humo mkoani Ruvuma,Mgombea huyo ambaye anawaomba Watanzania ridhaa ya kuwaongoza katika awamu ya tano.(PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-RUVUMA)

Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa mji wa Songea, ambapo alisema katika serikali yake wakulima hawatokopwa mazao yao, mbolea zitapatikana kwa wakati,...

 

10 years ago

Michuzi

COMRADE MWIGULU NCHEMBA AUTEKA MJI WA GEITA

Muonekano wa Umati wa Wananchi waliotulia wakisikiliza hoja za Msingi kutoka kwa Mwigulu Nchemba.Comrade Mwigulu Nchemba akisisitiza Jambo kwa Wananchi wa Geita Mjini kuhusu Uchaguzi wa serikali za Mitaa.Picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOITIKISA RUVUMA LEO,MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA

Mgombea Urais wa CCM,Dkt John Pombe Mgufuli akiweka shada la Maua kwenye kaburi la Marehemu Kapteni Komba aliyezikwa kijijini kwao Lituhi mkoani Ruvuma.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Songea waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Maji Maji mjini  humo mkoani Ruvuma,Mgombea huyo ambaye anawaomba Watanzania ridhaa ya kuwaongoza katika awamu ya tano,amewaambia kuwa katika serikali yake wakulima hawatokopwa mazao yao, mbolea zitapatikana kwa wakati,...

 

9 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOITIKISA RUVUMA LEO. MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA


 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Songea waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Maji Maji mjini  humo mkoani Ruvuma,Mgombea huyo ambaye anawaomba Watanzania ridhaa ya kuwaongoza katika awamu ya tano.Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa mji wa Songea, ambapo alisema katika serikali yake wakulima hawatokopwa mazao yao, mbolea zitapatikana kwa wakati, barabara zitaboreshwa ,elimu bure mpaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani