Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hoja ya haja: DIASPORA NA URAI PACHA (dual citizenship)


Na Ndugu Kagutta N.Maulidi





Tunapoendelea kufuatilia majadiliano  ya wajumbe maaluum wa bunge la katiba si vibaya tukaweka msisitizo au kuwakumbusha wajumbe wetu kuhusu mada iliyopo katika rasimu ya katiba sura ya tano inayozungumzia  urai pacha.
Nchi yetu bado haitambui uraia wa nchi mbili, kwa maana kuwa ukichukua uraia wa nchi nyingine unapoteza haki ya Urai wako  wa Tanzania. Tunashukuru kuwa swala hili limeingizwa katika rasimu ya pili ya katiba,ili liweze kujadiliwa .Sisi Watanzania...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TANZANIAN DIASPORA: We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country

We Tanzanians in the  Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support. Dual Citizenship ni : 1. Kwa Ajili ya Wewe 2. Kwa Ajili ya Nchi 3. Kwa Ajili Ya Watoto Wako 4. Kwa Ajili Ya Maendeleo ya Nchi
The government has said that it is high time now for Tanzania to allow dual citizenships so as to enable the Diasporas contribute to the country’s development in terms of income and expertise.
It has been said that many wealthy and well educated Tanzanians living abroad fail to contribute to national development because they are denied the right to dual...

 

11 years ago

GPL

TANZANIAN DIASPORA: WE TANZANIANS IN THE DIASPORA, BELIEVE THAT DUAL CITIZENSHIP IS A GREAT THING FOR THE COUNTRY, PLEASE SUPPORT

Dual Citizenship ni: 1. Kwa Ajili ya Wewe 2. Kwa Ajili ya Nchi 3. Kwa Ajili Ya Watoto Wako 4. Kwa Ajili Ya…

 

10 years ago

Daily News

Kikwete challenges Diaspora to lobby for dual citizenship


Kikwete challenges Diaspora to lobby for dual citizenship
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has urged Tanzanians in the Diaspora to persuade and illustrate the significance of dual citizenship to members of the Constituent Assembly (CA) to ensure the issue is included in the ongoing debates for the envisaged new ...

 

11 years ago

Michuzi

hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha

Ankal,  mosi naomba nichukue wasaa huu kukushukuru kwa kazi nzuri ya kutuhabaraisha wana ughaibuni. Unatufikishia habari za nyumbani zinazotufariji tulio mbali na nyumbani. Ankal kabla kuendelea zaidi, napenda niseme machache ya moyoni kutokana na mada nzito ya juzi kutoka kwa kijana wetu mahiri john ,mashaka
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...

 

11 years ago

IPPmedia

Kikwete to Diaspora: Go beyond use of social media in seeking dual citizenship


Daily News
Kikwete to Diaspora: Go beyond use of social media in seeking dual citizenship
IPPmedia
The ongoing constitution review process presents the opportune time to Tanzanians in the Diaspora to vie for dual citizenship, President Jakaya Kikwete has advised. In the press statement released yesterday by the Directorate of Presidential Communication, ...
Make use of local financial services, Diaspora toldDaily News

all 3

 

11 years ago

Michuzi

We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support.' on Change.org

Each year, bright, optimistic Africans leave home to earn an education or seek a better economic life abroad for themselves and their families. With fewer opportunities in their home country, many never return home. The African Diaspora is broadly defined by the African Union Commission as "peoples of African origin living outside the continent, irrespective of their citizenship and nationality and who are willing to contribute to the development of the continent and the building of the...

 

11 years ago

Michuzi

Dual citizenship in Tanzania and the Diaspora Alternative point of views to framing the topic and associated arguments

I would like to provide alternative point of views about the way to frame the advantages of dual citizenship and hence contribute to the on-going narrative about the same.
First, I would like to make it clear that I support dual citizenship but the reasoning that have been put forward so far in support of it just do not make sense.  To my knowledge, the proponents of dual citizenship have put forward among others, two major points, in support of their position.  That a) It will facilitate...

 

11 years ago

Michuzi

hoja ya haja na Dakta Anicetus Temba juu ya uraia pacha


Nimetumia muda mwingi kusoma vipeperushi vya kitaalamu kuhusiana na suala linalojadiliwa sasa la uraia pacha katika Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wakati nchi nyingi za Kiafrka zikionekana kuelekea katika mfumo wa uraia pacha Tanzania bado tuna kazi kubwa ya kuelimisha jamii kuhusiana na umuhimu wa sulala hili. Inawezekana kabisa suala hili linaweza lisipewe kipaumbele katika Bunge Maaumu la Katiba. Maombi yetu ni kuliomba Bunge hilo lijadili mada hii kwa undani na kwa mapana yake....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani