Hoja ya haja: DIASPORA NA URAI PACHA (dual citizenship)
Na Ndugu Kagutta N.Maulidi
Tunapoendelea kufuatilia majadiliano ya wajumbe maaluum wa bunge la katiba si vibaya tukaweka msisitizo au kuwakumbusha wajumbe wetu kuhusu mada iliyopo katika rasimu ya katiba sura ya tano inayozungumzia urai pacha.
Nchi yetu bado haitambui uraia wa nchi mbili, kwa maana kuwa ukichukua uraia wa nchi nyingine unapoteza haki ya Urai wako wa Tanzania. Tunashukuru kuwa swala hili limeingizwa katika rasimu ya pili ya katiba,ili liweze kujadiliwa .Sisi Watanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Feb
TANZANIAN DIASPORA: We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country
![We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support.](http://change-production.s3.amazonaws.com/photos/9/js/eb/cdJSeBVAIcMIltF-556x313-noPad.jpg?1392350851)
The government has said that it is high time now for Tanzania to allow dual citizenships so as to enable the Diasporas contribute to the country’s development in terms of income and expertise.
It has been said that many wealthy and well educated Tanzanians living abroad fail to contribute to national development because they are denied the right to dual...
11 years ago
GPL![](http://change-production.s3.amazonaws.com/photos/9/js/eb/cdJSeBVAIcMIltF-556x313-noPad.jpg?1392350851)
TANZANIAN DIASPORA: WE TANZANIANS IN THE DIASPORA, BELIEVE THAT DUAL CITIZENSHIP IS A GREAT THING FOR THE COUNTRY, PLEASE SUPPORT
11 years ago
Michuzi20 Apr
10 years ago
Daily News15 Aug
Kikwete challenges Diaspora to lobby for dual citizenship
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has urged Tanzanians in the Diaspora to persuade and illustrate the significance of dual citizenship to members of the Constituent Assembly (CA) to ensure the issue is included in the ongoing debates for the envisaged new ...
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
11 years ago
IPPmedia05 Aug
Kikwete to Diaspora: Go beyond use of social media in seeking dual citizenship
Daily News
IPPmedia
The ongoing constitution review process presents the opportune time to Tanzanians in the Diaspora to vie for dual citizenship, President Jakaya Kikwete has advised. In the press statement released yesterday by the Directorate of Presidential Communication, ...
Make use of local financial services, Diaspora toldDaily News
all 3
11 years ago
Michuzi03 Mar
We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support.' on Change.org
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S8x_OGDBBYo/UyvaVphlEDI/AAAAAAAFVUE/rByENmQsBOc/s72-c/logo.jpg)
Dual citizenship in Tanzania and the Diaspora Alternative point of views to framing the topic and associated arguments
![](http://1.bp.blogspot.com/-S8x_OGDBBYo/UyvaVphlEDI/AAAAAAAFVUE/rByENmQsBOc/s1600/logo.jpg)
First, I would like to make it clear that I support dual citizenship but the reasoning that have been put forward so far in support of it just do not make sense. To my knowledge, the proponents of dual citizenship have put forward among others, two major points, in support of their position. That a) It will facilitate...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s72-c/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
hoja ya haja na Dakta Anicetus Temba juu ya uraia pacha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s1600/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
Nimetumia muda mwingi kusoma vipeperushi vya kitaalamu kuhusiana na suala linalojadiliwa sasa la uraia pacha katika Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wakati nchi nyingi za Kiafrka zikionekana kuelekea katika mfumo wa uraia pacha Tanzania bado tuna kazi kubwa ya kuelimisha jamii kuhusiana na umuhimu wa sulala hili. Inawezekana kabisa suala hili linaweza lisipewe kipaumbele katika Bunge Maaumu la Katiba. Maombi yetu ni kuliomba Bunge hilo lijadili mada hii kwa undani na kwa mapana yake....