Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


'HOUSE BOY'ANAYETUHUMIWA KUMUIBIA SHILINGI MILIONI 7/- MBUNGE WA ZAMANI WA BUNGE LA AFRIKA MASHIRIKI AKUTWA NA KESI YA KUJIBU

 Na Woinde Shizza ,Michuzi TV- ARUSHA

MAHAKAMA  ya Mwanzo Maromboso jijini Arusha imemkuta na kesi ya kujibu mtuhumiwa wa kesi ya wizi wa sh.milioni saba inayomkabili kijana wa kazi (House boy) William Mlewa(22) anayetuhumiwa kumwibia Mwajiri wake Anjela Kizigha ambaye ni Mbunge wa zamani wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).

Hakimu Neema Mchomvu anayesikiliza kesi hiyo alidai kuwa Mahakama imemkuta na kesi ya kujibu na kumtaka mshtakiwa kujipanga kwa ajili ya utetezi wake.

Akisoma mashtaka kwa...

Michuzi

Read more


Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani