Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ICC yampa makataa Bensouda kuhusu Uhuru

ICC imempa kiongozi wa mashtaka Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe kesi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda

Kiongozi wa mshataka katika mahakama 
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda

Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Kamau azungumzia uamuzi wa ICC kuhusu Rais Uhuru Kenyatta

a
Mwakilishi wa kudumu wa Kenya katika Umoja wa Mataifa Balozi Macharia Kamau.(Picha ya UM/Mark Garten)Siku ya Ijumaa tarehe Tano Disemba mwaka 2014, mahakama ya kimataifa ya uhalifu, ICC huko The Hague, Uholanzi ilitupilia mbali mashtaka dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. Mwendesha Mashtaka Mkuu Fatou Bensouda alieleza kuwa uamuzi huo unazingatia kuwa hawana ushahidi wa kutosha wa kuweza kuthibisha pasipo shaka mashtaka matano yaliyokuwa yanamkabili Kenyatta. Kufuatia uamuzi huo, Joseph...

 

10 years ago

TheCitizen

Too late for Fatou Bensouda to salvage ICC’s reputation

Of all the things former Kenyan Attorney-General Amos Wako used to utter, this for me stands out: “I am ready, give the evidence and I will prosecute. If the evidence is sufficient, solid enough to sustain a prosecution, I will go ahead.

 

10 years ago

TheCitizen

Bensouda wants Kenya ICC case cited at States Parties Assembly

ICC Prosecutor Fatou Bensouda has asked the court to allow her to appeal the decision against Kenya not being declared non-cooperative even as victims of post-election violence urged her to go for smaller fish.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Timu ya Bensouda (ICC), yaanza kazi rasmi, wafanya kikao na European Election Observers

T Baada ya tarehe 25 Oktoba, chochote kinaweza kutokea kwa viongozi wetu kama ilivyotokea Kenya (2007), na Ivory Coast. Wawakilishi wa Mahakama ya kikataifa ya uhalifu wa binadamu washatua nchini Tanzania. Na tayari washakutana na waangalizi […]

The post Timu ya Bensouda (ICC), yaanza kazi rasmi, wafanya kikao na European Election Observers appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

TheCitizen

Bensouda blows hot air as Uhuru case ‘falls apart’

>Kenya is setting a new precedent that could see to the credibility of the International Criminal Court (ICC) go to the dogs – and for good.

 

10 years ago

TheCitizen

Uhuru gave cash to arm Mungiki, alleges Bensouda in latest report

A redacted brief by ICC prosecutor Fatou Bensouda has accused Kenyan senior politicians and officials in President Mwai Kibaki’s government of using security agents and the Mungiki to cause violence during the 2007/2008 post-election violence.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Uhuru Kenyatta mbele ya ICC

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amefika mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC huko Hague, ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu.

Yeye ni kiongozi wa kwanza wa taifa kuwasili mbele ya mahakama hiyo.

Kenyatta amefika mbele ya mahakama hiyo baada ya waendesha mashtaka kuishutumu serikali ya Kenya kukata kuwasilisha ushahidi muhimu. BBC

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani