ICC yampa makataa Bensouda kuhusu Uhuru
ICC imempa kiongozi wa mashtaka Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe kesi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Dec
Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda
![](https://2.bp.blogspot.com/-xqIaKTncqn4/VH_cFnF7ajI/AAAAAAABzYY/efKUwoaBj0c/s1600/141008160241_kenya_icc_640x360_bbc_nocredit.jpg)
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda
Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...
10 years ago
Michuzi07 Dec
Balozi Kamau azungumzia uamuzi wa ICC kuhusu Rais Uhuru Kenyatta
![Macharia kamau](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/k294ObMj-v_yMyCiLy6AcaaySYJcJDWPavlXWLjWRh_GHUfqZxEY4K-fbMqrTmCvpqNBHfaYcSKBGnpX9E-ZUYvGxd-BXOxLTDavLadkWZnPbCsrKsYRO0mDuSmHV1C0eVE8tGv-wqI4D_32ukkh6ANXYuK9nDpC3g=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/10/Macharia-kamau-2-300x257.jpg)
10 years ago
TheCitizen29 Sep
Too late for Fatou Bensouda to salvage ICC’s reputation
10 years ago
TheCitizen11 Dec
Bensouda wants Kenya ICC case cited at States Parties Assembly
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Oct
Timu ya Bensouda (ICC), yaanza kazi rasmi, wafanya kikao na European Election Observers
T Baada ya tarehe 25 Oktoba, chochote kinaweza kutokea kwa viongozi wetu kama ilivyotokea Kenya (2007), na Ivory Coast. Wawakilishi wa Mahakama ya kikataifa ya uhalifu wa binadamu washatua nchini Tanzania. Na tayari washakutana na waangalizi […]
The post Timu ya Bensouda (ICC), yaanza kazi rasmi, wafanya kikao na European Election Observers appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
TheCitizen12 Feb
Bensouda blows hot air as Uhuru case ‘falls apart’
10 years ago
Michuzi09 Oct
Wakili wa Kenyatta ICC amwambia Bensouda afute kesi ya mteja wake kwani ushahidi hamna
10 years ago
TheCitizen21 Jan
Uhuru gave cash to arm Mungiki, alleges Bensouda in latest report
10 years ago
Vijimambo08 Oct
Rais Uhuru Kenyatta mbele ya ICC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008075142_uhuru_kenyatta_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Yeye ni kiongozi wa kwanza wa taifa kuwasili mbele ya mahakama hiyo.
Kenyatta amefika mbele ya mahakama hiyo baada ya waendesha mashtaka kuishutumu serikali ya Kenya kukata kuwasilisha ushahidi muhimu. BBC