Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


introducing Machalii Pori wana wa Ifakara wenye maskani yao Arusha pande za Usa River

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA USA RIVER-ARUSHA

 Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Nyerembe D. Munasa Sabi (kati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Usa River.Wakishuhudia kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Biashara kwa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, Richard Makungwa pamoja na Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini, Vicky Bishubo . Hafla ya uzinduzi wa tawi hili la NMB Usa River umefanyika mwanzoni mwa wiki katika viwanja vya tawi hili mkoani Arusha.

 Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya uzinduzi huu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tuzo za wanyama pori wenye kuchekesha kwa mwaka 2019

Picha zilizotunukiwa tuzo mwaka huu baada ya mashindano

 

11 years ago

Dewji Blog

Mafunzo juu ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kwa watu wenye Ulemavu-Ifakara Kilombero

SAM_0523

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wasioona (TLB) Mwalimu Greyson Mlanga(aliyesimama) akitoa somo juu ya Warsha ya Siku mbili ya Mkatabawa Umoja wa Mataifa Kwa Watu Wenye Ulemavu Mjini Ifakara hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Wilaya ya Kilombero Maria Faya na  Kulia ni Mwalimu Janet Kalalu, Mratibu wa Chama Wilaya.

SAM_0515

Viongozi wa TLB Taifa Wakiungana na Viongozi wa TLB Wilaya ya Kilombero katika kuimba Wimbo wa Haki za Binadamu katika Mafunzo ya Siku Mbili yaliyowakutanisha...

 

11 years ago

GPL

MAFUNZO JUU YA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA KWA WATU WENYE ULEMAVU IFAKARA KILOMBERO‏

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wasioona (TLB) Mwalimu Greyson Mlanga(aliyesimama) akitoa somo juu ya Warsha ya Siku mbili ya Mkatabawa Umoja wa Mataifa Kwa Watu Wenye Ulemavu Mjini Ifakara hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Wilaya ya Kilombero Maria Faya na Kulia ni Mwalimu Janet Kalalu, Mratibu wa Chama Wilaya. Viongozi wa TLB Taifa Wakiungana na Viongozi wa TLB… ...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEHERA ZA EID AL UDHA ILIVYOSHEREHEKEWA NA WANA DMV HUKO MARYLAND USA, ZIKIWEMO NA PROGRAM ZA WATOTO

Mwenyekiti wa jumuiya ya waislam DMV (kushoto) Ustadh Ali Mohammed akiwa na mmoja wa wageni rasmi katika meza kuu Canal Ruta (kulia) Meza kuu ilikwa na wageni rasmi, kutoka kulia ni Canal Ruta kutoka ubalozi wa tanzania washington DC, akimwakilisha mheshimiwa balozi akiwa katika shughuli nyengine za kikazi, wapili kulia ni balozi Ali Karume, wa tatu, rais wa TAMCO DMV, na wanne kushoto ni mke wa balozi Ali Karume
Meza kuu ilikwa na wageni rasmi, kutoka kulia ni Canal Ruta kutoka ubalozi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanaozikandia tiketi za elektroniki wana yao

Teknolojia ni mabadiliko ya sayansi yanayoendana na mazingira husika. Dunia imekuwa kijiji na zaidi ni kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia.

 

11 years ago

GPL

WENYE FEDHA WANA AKILI KULIKO SISI?

Hili ni moja kati ya maswali muhimu ambayo mtu anapaswa kujiuliza, pale anapofikiria kama anaweza kutengeneza pesa na kuwa tajiri kama walivyo matajiri wengine. Jibu la swali hili linaweza kuwa ‘Inawezekana’. Kwamba inawezekana matajiri wana akili kuliko sisi kwa sababu wamefanikiwa kupata fedha, achana na hawa tunaosikiasikia kuwa wanapata utajiri kwa sababu ya nguvu za giza. Lakini hata hivyo, akili ambazo wanazo...

 

5 years ago

Michuzi

SAMIA SULUHU HASSAN AWAONYA WANA CCM WALIOANZA KAMPENI KABLA YA WAKATI,ASEMA WANAYO MAJINA YAO

Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamiiMAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu na tayari kuna watu wameanza kujipitisha kwenye kata na majimbo kabla ya wakati, hivyo ametoa onyo kwa yoyote anayejipitisha mapema atachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni na miongozo ya Chama hicho.Mama Samia ameyasema hayo leo Februari 13,2020 kwenye mkutano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuria na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani