Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAMES MILNER AIAGA MANCHESTER CITY NA KUJIUNGA RASMI NA LIVERPOOL

Wiki mbili baada ya kumalizika kwa ligi kuu ya Uingereza, dirisha la usajili barani ulaya limeanza kushika hatamu.Klabu ya Liverpool leo hii imetangaza kukamilisha usajili wa kiungo James Milner kutoka Manchester City.Milner mwenye umri miaka 29, alipiga chini nafasi ya kuendelea kubaki Etihad Stadium ili awese kupata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza chini ya Brendan Rogers msimu ujao.Milner amemaliza mkataba wake na City, na atajiunga rasmi na Liverpool tarehe 1 mwezi...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili James Milner

Liverpool imekubali kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza James Milner kutoka kwa kilabu ya Manchester City kwa uhamisho wa bure.

 

5 years ago

Ealing Times

James Milner believes Liverpool's remarkable season has been taken for granted

James Milner believes Liverpool's remarkable season has been taken for granted  Ealing TimesThe latest on Henderson, Alisson and Robertson ahead of LFC’s Atletico clash  Empire of The KopSterling warns Liverpool to brace for 'massive' Man City reaction  Goal.comLiverpool show signs of previous best as one man nailed on for Atletico Madrid Champions League start  Liverpool EchoThey had a wobble, but Liverpool’s not-so-secret weapon is their ace card: PL talking points  Fox SportsView Full...

 

5 years ago

Mirror Online

Liverpool's James Milner has fans in stitches as he names his 'isolation XI'

Liverpool's James Milner has fans in stitches as he names his 'isolation XI'  Mirror OnlineLiverpool's James Milner has uploaded a brilliant video of his '#isolationXI'  GIVEMESPORTJames Milner shares his hilarious isolation XI as Liverpool midfielder continues to post brilliant social  talkSPORT.comLiverpool midfielder James Milner brilliantly shares isolation boredom with hilarious video  Daily StarJames Milner isolation video reveals hilarious team featuring Linfield boss David...

 

5 years ago

TalkSPORT.Com

Transfer news LIVE: Liverpool blow, James to Manchester United, Chelsea in Coutinho talks

Transfer news LIVE: Liverpool blow, James to Manchester United, Chelsea in Coutinho talks  talkSPORT.comTransfer news and rumours LIVE: Coutinho close to Chelsea loan switch  Goal.comNeymar's WhatsApp messages to Philippe Coutinho - and why he may finally take his advice  Mirror OnlineChelsea transfer tracker – Coutinho loan deal gains momentum  Talk ChelseaChelsea could land Barcelona ace for only £55m as advanced talks take place  CaughtOffsideView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Kahama, James David Lembeli aondoka CCM na kujiunga rasmi na CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Kahama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), James David Lembeli (kushoto) akiingia ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mtoto wake, Wizilya Lembeli wakati akienda kutangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA‏

Aliyekuwa Mbunge wa Kahama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), James David Lembeli (kushoto) akiingia ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mtoto wake, Wizilya Lembeli wakati akienda kutangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA


Aliyekuwa Mbunge wa Kahama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), James David Lembeli (kushoto) akiingia ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mtoto wake, Wizilya Lembeli wakati akienda kutangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi...

 

10 years ago

Michuzi

BREEKING NEWSSSSS:MBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi wakati akitangaza kuondoka katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Pamoja na kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia chama hicho. Lembeli akizungumza na wanahabari. Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.

 

11 years ago

GPL

FT: MANCHESTER CITY 2, LIVERPOOL 1

Manchester City line - up: Joe Hart, Vincent Kompany(4), Pablo Zabaleta(5), Joleon Lescott (6),Aleksandar Kolarov(13), Samir Nasri(8), Jesús Navas(15), David Silva(21), Fernandinho(25), Yaya Touré(42), Álvaro Negredo(9). Liverpool line - up: Simon Mignolet(22), Glen Johnson(2),  Mamadou Sakho(17), Aly Cissokho(20), Martin Skrtel(37), Jordan Henderson(14), Lucas921), Joe Allen (24), Luis Suárez(7), Philippe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani