Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi jeupe larudi nyuma Sudan Kusini

Vijana wa kabila la Nuer wa Sudan Kusini, wanaoitwa "jeshi jeupe" kwa sababu ya jivu wanalojipaka, wameshauriwa wasiingie Bor

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

UN yaonya jeshi la Machar Sudan Kusini

Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini kimeionya jeshi Riek Machar kuwa linatenda makosa ya kivita kwa kuteka mashua ya UN

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini

Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Jeshi la Sudan Kusini 'lilibaka na kuua'

Umoja wa mataifa unasema kuwa Wajeshi wa Sudan Kusini wamewabaka kwa zamu wasichana wengi kisha wakawachoma wakiwa majumbani mwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la China laingia Sudan Kusini

Uchina imesema kuwa kikosi chake kwa kwanza maalum cha kijeshi kilichojumuisha wanajeshi wa UN kimeingia nchini Sudan kusini

 

9 years ago

BBCSwahili

Uganda imeondoa jeshi lake Sudan Kusini

Kundi la mwisho la wanajeshi wa Uganda waliosalia nchini Sudan Kusini wameondoka nchini humo leo.

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

GPL

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati  Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa  makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...

 

11 years ago

Mwananchi

Mahiza akubali yaishe, gari la wagonjwa larudi Kibiti

Hatimaye gari la wagonjwa la Kituo cha Afya cha Kibiti mkoani Pwani lililokuwa limehamishiwa Zahanati ya Nyamisati kwa agizo la mkuu wa mkoa limerudishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani