JK afungua kongamano la kimataifa la sayansi, teknolojia na ubunifu jijini Dar leo
Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati akifungua Kongamano la nne la Kimataifa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi inayojishughulisha na Utafiti wa Sayansi ya Jamii (REPOA), Profesa Samuel Wangwe akitoa hutuba mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa kongamano hilo.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia, (COSTECH), Dk.Hassan Mshinda akizungumza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU UKUMBI WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oRRvOVie5Ak/VYvE5Gr3sgI/AAAAAAAHjsg/UeraZIJqVx0/s72-c/IMGL0341.jpg)
JK ALIPOFUNGUA KONGAMANO LA NNE LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-oRRvOVie5Ak/VYvE5Gr3sgI/AAAAAAAHjsg/UeraZIJqVx0/s640/IMGL0341.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8BDfz3w-MJA/VYvG6erGEjI/AAAAAAAHjxk/dA_O2U0b5a8/s640/IMGL1813.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la mafunzo ya pamoja kwa mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia jijini Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania, Lennarth Hjelmaker, wakati alipowasili kwenye Taasisi ya ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, jijini Arusha kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kimataifa la Mafunzo ya pamoja kwa Mabadiliko ya Kisayansi na Teknolojia, yaliyoanza leo jijini Arusha. Mafunzo hayo yameshirikisha washiriki kutoka Nchi 14 za Afrika na washiriki kutoka Vyuo 15 vya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5Hx_jpcOzjA/VHXARkikPII/AAAAAAAGzkU/LbAJKNhf6LQ/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Hx_jpcOzjA/VHXARkikPII/AAAAAAAGzkU/LbAJKNhf6LQ/s1600/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UyYyassfkwk/VHXAbbdwEiI/AAAAAAAGzlM/oPwG4TSp4U8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oqOgKL6z2Vk/VHXAaWc3rBI/AAAAAAAGzlE/jpXoqTyuqN8/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lb5BEoEJVaU/U-i9WBl6ecI/AAAAAAAF-d0/kfyUZTsTpBw/s72-c/unnamed+(83).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WANASAYANSI VIJANA JIJINI DAR LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lb5BEoEJVaU/U-i9WBl6ecI/AAAAAAAF-d0/kfyUZTsTpBw/s1600/unnamed+(83).jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 Aug
Dkt. Bilal afungua kongamano la Kimataifa la Sayansi kwa nchi za Afrika na Kusini mwa jangwa la Sahara, Jijini Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Chuo cha Nelson Mandela cha jijini Arusha wakati alipowasili kwa ajili ya kufungua Kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu ukuzaji na uendelezaji wa Tafiti za Kisayansi kwa nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la sahara. (Picha na OMR).
Kongamano hilo la siku tatu limefanyika katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) Jijini Arusha Agosti...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EL_k2jjvoFg/U1f_DeBihJI/AAAAAAAFciY/HdoDVKv1uG8/s72-c/01.jpg)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia afungua mkutano wa wadau wa TEHAMA Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-EL_k2jjvoFg/U1f_DeBihJI/AAAAAAAFciY/HdoDVKv1uG8/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVeEZ7AXqlA/U1f_IwWR6DI/AAAAAAAFcik/uBJu0370xkw/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oGlwYGI-qkc/U1f_HxmxZnI/AAAAAAAFcig/WaSAF1t4g24/s1600/03.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QOAcK6scAYE/U-IXyxXo7II/AAAAAAAF9js/ZCH1lb_UAAM/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI KWA NCHI ZA AFRIKA NA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA, JIJINI ARUSHA
Kongamano hilo ambalo limedhaminiwa na Shirika la misaada la Kimataifa la Marekani (USAID) linalenga kukuza tafiti za kisayansi na kutanua maendeleo ya tafiti hizo ili yasaidie wananchi wa nchi za ukanda huu hasa vijana ambao wanaelezwa kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LnsQHViRKtk/VFoJdA2UMdI/AAAAAAAGvmk/t3cFZBExunY/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA MITAJI HISA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-LnsQHViRKtk/VFoJdA2UMdI/AAAAAAAGvmk/t3cFZBExunY/s1600/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VEblk043kso/VFoJdYIer8I/AAAAAAAGvmo/A_h6TG3gpOQ/s1600/01.jpg)