Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK akutana na Rais Jose Eduardo Dos Santos wa Angola jijini Luanda leo

 Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda na kufanya naye mazungumzo leo. Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akiwa na mazungumzo na Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo  katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda leo. .Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akibadilishana...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

VIDEO: Dos Santos on Angola's wealth fund

The head of Angola's sovereign wealth fund - and son of the country's president - speaks to the BBC about his appointment and whether the fund will be used to improve the country's infrastructure.

 

5 years ago

BBC

Angola billionaire Isobel dos Santos wants assets unfrozen

The Angolan billionaire says documents included a forged passport using the late film star's signature.

 

5 years ago

Reuters

Lisbon court seizes NOS shares held by Angola's dos Santos

Lisbon court seizes NOS shares held by Angola's dos Santos  ReutersLisbon Court Seizes NOS Shares Held by Angola's Dos Santos  U.S. News & World ReportView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Michuzi

JK AKUTANA NA RAIS JOSEPH KABILA LEO IKULU YA KINSHASA, AELEKEA ANGOLA

Rais Jakaya Kikwete  amewasili mjini Kinshasa  Jamhuri ya Watu wa Kongo (DRC) usiku wa kuamkia leo kwa ziara ya kikazi akitokea nchini Nigeria ambapo amehudhuria Mkutano wa Viongozi kuhusu Uchumi barani Afrika.
 Akiwa Kinshasa, leo tarehe 10 Mei, Rais Kikwete amefanya  mazungumzo na Rais Joseph Kabila ambapo wanatarajia kuzungumzia uhusiano baina ya nchi mbili hizi na hali ya kisiasa kwa ujumla katika ukanda wa Jumuiya ya ushirikiano wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). 

 Mara...

 

11 years ago

BBC

Dos Santos wary of Cameroon threat

Mexico striker Giovani dos Santos says Cameroon are the biggest threat to his side's chances of World Cup progress.

 

11 years ago

Dewji Blog

Hon. Membe attends SADC/ICGLR Ministerial meeting in Luanda, Angola

unnamed (65)

Hon. Bernard K. Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation giving country’s position during the joint SADC/ICGLR Ministerial Meeting held in Luanda, Angola July 2, 2014.

unnamed (64)

The second joint ministerial meeting of the Southern Africa Development Cooperation (SADC) and the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) countries was concluded in Luanda July 2, 2014 with concrete steps to finding sustainable peace in the region.

The well attended meeting by all...

 

11 years ago

Michuzi

Hon. Membe attends SADC/ICGLR Ministerial Meeting in Luanda, Angola

 Hon. Bernard K. Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation giving country's position during the joint SADC/ICGLR Ministerial Meeting held in Luanda, Angola July 2, 2014.The second joint ministerial meeting of the Southern Africa Development Cooperation (SADC) and the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) countries was concluded in Luanda July 2, 2014 with concrete steps to finding sustainable peace in the region.
The well attended meeting by all...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akutana na Balozi wa Canada nchini Tanzania Ikulu jijini Dar leo,Pia akutana na Mwenyekiti wa SAGCOT Fund

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Balozi wa Canada nchini,Mh. Alexandre Leveque ikulu jijini Dar es salaam leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Canada nchini,Mh.Alexandre Leveque ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Mwenyekiti wa SAGCOT Fund Balozi Ami Mpungwe baada ya kufanya naye mazungumzo ikulu jijini Dar es Salam leo.(picha na Freddy Maro).

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani, jijini Nairobi leo

unnamed (2)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski  jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi yuko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani