JK akutana na Rais Jose Eduardo Dos Santos wa Angola jijini Luanda leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-yGUXHIa10E0/U26Bb5hVd5I/AAAAAAAFgsE/YhnWsfO7z1g/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda na kufanya naye mazungumzo leo. Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mazungumzo na Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda leo. .Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77513000/jpg/_77513677_77511259.jpg)
VIDEO: Dos Santos on Angola's wealth fund
5 years ago
BBC12 May
Angola billionaire Isobel dos Santos wants assets unfrozen
5 years ago
Reuters05 Apr
Lisbon court seizes NOS shares held by Angola's dos Santos
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4JBKPSxseh8/U24QHwY7YsI/AAAAAAAFgqk/3ERW_pMzjnc/s72-c/unnamed+(3).jpg)
JK AKUTANA NA RAIS JOSEPH KABILA LEO IKULU YA KINSHASA, AELEKEA ANGOLA
Akiwa Kinshasa, leo tarehe 10 Mei, Rais Kikwete amefanya mazungumzo na Rais Joseph Kabila ambapo wanatarajia kuzungumzia uhusiano baina ya nchi mbili hizi na hali ya kisiasa kwa ujumla katika ukanda wa Jumuiya ya ushirikiano wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Mara...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74516000/jpg/_74516039_dossantos.jpg)
Dos Santos wary of Cameroon threat
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Hon. Membe attends SADC/ICGLR Ministerial meeting in Luanda, Angola
Hon. Bernard K. Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation giving country’s position during the joint SADC/ICGLR Ministerial Meeting held in Luanda, Angola July 2, 2014.
The second joint ministerial meeting of the Southern Africa Development Cooperation (SADC) and the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) countries was concluded in Luanda July 2, 2014 with concrete steps to finding sustainable peace in the region.
The well attended meeting by all...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XeQfgb91_tU/U7WoZm8X23I/AAAAAAAFuy8/3oru7tiwyKI/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Hon. Membe attends SADC/ICGLR Ministerial Meeting in Luanda, Angola
![](http://3.bp.blogspot.com/-XeQfgb91_tU/U7WoZm8X23I/AAAAAAAFuy8/3oru7tiwyKI/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CSwmof7Hui8/U7WoZT2HGZI/AAAAAAAFuzA/q2HtZKcz6BY/s1600/unnamed+(65).jpg)
The well attended meeting by all...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-595V2EAOnxE/U0fbVtPIOsI/AAAAAAAFZ94/4Tzsn1l9Yxw/s72-c/D92A2654.jpg)
Rais Kikwete akutana na Balozi wa Canada nchini Tanzania Ikulu jijini Dar leo,Pia akutana na Mwenyekiti wa SAGCOT Fund
![](http://2.bp.blogspot.com/-595V2EAOnxE/U0fbVtPIOsI/AAAAAAAFZ94/4Tzsn1l9Yxw/s1600/D92A2654.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YIhJ306_WXY/U0fbnaRrL4I/AAAAAAAFZ-A/ArXu96g56WM/s1600/D92A2676.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lt-UGThwSvc/U0fcFTZv5GI/AAAAAAAFZ-Y/p6G3IZXoNkU/s1600/D92A2950.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Rais Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani, jijini Nairobi leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi yuko...