JK: Tujiandikishe katika Daftari la Mpigakura
RAIS Jakaya Kikwete amewahimiza Watanzania kujiandikisha katika Daftari la Mpigakura wakati ukifika. Rais alisema hayo katika Salamu zake za Mwaka Mpya wa 2015 kwa Watanzania, jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axw1HP5NbYQ/XqwAQKhcHQI/AAAAAAALowQ/fU3N-qhdLA0I4BQCfpMXfbtN4spouQfnACLcBGAsYHQ/s72-c/a5c323a6-d09a-449b-91b7-86477f6b933f.jpg)
Kagurumjuli awataka BVR Kits Operators, wandishi waSaidizi kuzingatia kanuni na taratibu katika uboreshaji awamu ya pili daftari la mpigakura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-axw1HP5NbYQ/XqwAQKhcHQI/AAAAAAALowQ/fU3N-qhdLA0I4BQCfpMXfbtN4spouQfnACLcBGAsYHQ/s640/a5c323a6-d09a-449b-91b7-86477f6b933f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnknabWLYzg/XqwARkq4BVI/AAAAAAALowU/5rCse9uaY-0uIxzHY-ELOlKSaNPM9Zv4gCLcBGAsYHQ/s640/d6b363db-571b-4a89-ac0d-14fa7e841ce2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cKengaOQx5s/XqwAQOqUTrI/AAAAAAALowI/6f6LMh5U8d81rr0gZqOSu3wKjGpr2p1wACLcBGAsYHQ/s640/85def334-f6d5-408b-857c-e6c1727e64c5.jpg)
Watumishi wa BVR Oparetas Kts na waandishi wa saidizi wakiwa kwenye mafunzo ya namna ya kutumia mashine hizo pindi watakapokuwa kwenye majukumu ya kuwahudumia wananchi watakaofika kuhakiki taarifa zao ili waweze kupata kitambulisho cha mpiga kura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ilnMkyxbX8k/XqwAQI1jLVI/AAAAAAALowM/1ehw_uo0Hb0o6-qMLi5vEGWGrTv7QcFrQCLcBGAsYHQ/s640/c9ef0a25-435c-4ec7-b97e-4740133b31b7.jpg)
Afisa mwandikishaji ambaye ndio Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Bwana Aron Kagurumjuli akizungumza na watumishi hawapo pichani waliokuwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura katika shule ya msingo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s72-c/A%2B1.jpg)
MBUNGE NASSAR ATUMIA HELKOPTA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s640/A%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kKb04KzWZjQ/VYJTaMnzlmI/AAAAAAABAO4/Bsc7DJtVZmc/s640/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kWAiMKGaAN4/VYJTdre3qOI/AAAAAAABAPo/sMxr8xPhOg4/s640/A%2B9.jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/lubuva1.jpg)
UHAKIKI WA TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Jaji Mutungi ajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura
Zikiwa zimebakia siku chache tu kuisha kwa siku zilizotengwa na Serikali kwa wananchi kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura kwa mfumo wa BVR katika Jiji la Dar es salaam.
Mwandikishaji Msaidizi Bi. Maida Ally Yusufu akimsainisha Jaji Mutungi fomu ambazo zimebeba taarifa zake kwa ajili ya kujiandikisha Leo katika kituo cha Shule ya Msingi Bunge Jijini Dar es salaam.
Alama za vidole zikichukuliwa na Mwandikishaji Bw. Ernest Moses Selelya mara baada ya kukamilisha taratibu za...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/fRoQPqDJYow/default.jpg)
5 years ago
CCM BlogMSIWAINGIZE RAIA WA KIGENI KATIKA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA
Na Daniel Mwambene
“Msiwaingize raia wa kigeni katika maboresho ya Daftari la Wapiga Kura”DED wa Ileje awataka wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.
Katika kuhakikisha Watanzania wanashiriki vema kwenye Uchaguzi Mkuu ujao Afisa Mwandikishaji wa wa Jimbo la Uchaguzi la Ileje Ndg.Haji Mnasi aliwataka wakazi wa Halmashauri hiyo kulinda zoezi hilo kutoingiliwa na raia wa nchi jirani.
Mnasi alitoa rai hiyo wakati wa kufungua mafunzo ya siku mbili kwa washiriki 38 watakaohusika na uboreshaji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zjoiFG0Wjus/VUNcNMRL6aI/AAAAAAABfbs/H1Zkypnp5r4/s72-c/20150501034512.jpg)
WAFANYAKAZI WAHIMIZWA KUJITOKEA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zjoiFG0Wjus/VUNcNMRL6aI/AAAAAAABfbs/H1Zkypnp5r4/s1600/20150501034512.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
CHADEMA yawataka Wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura
Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika hotel ya New Arusha jijini humo.
Viongozi wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wakifanya sala kabla ya kuanza mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini.
Naibu Katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari.
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo-Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-zjoiFG0Wjus/VUNcNMRL6aI/AAAAAAABfbs/H1Zkypnp5r4/s1600/20150501034512.jpg)
WAFANYAKAZI WAHIMIZWA KUJITOKEA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA