Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KASESELA AHUDHURIA IBADA YA BISHOP JOE OLSTEIN HOUSTON, TEXAS

Richard Kasesela akihudhuria ibada katika kanisa la Lakewood mjini Houston siku ya Jumapili March 15, 2015 kanisa linalotumiwa na baadhi ya Watanzania waishio hapa Houston jimbo la Texas nchini Marekani.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Semina ya Texas Karate Black Belts yafanyika Houston, Texas

Texas Black Belts club Seminar , imeandaliwa na Sensei Ramon Veras, Dan 7, Okinawa Goju Ryu Kyokai, mjini Houston, Texas tarehe 19 April, 2015. Pia ni sehemu moja ya maandalizi na marekebisho ya mbinu na ufundi wa vipande tofauti katika mfumo mzima wa  Sanaa na tayari kwa baadhi ya washiriki kwa msafara wa kwenda kwenye chimbuko la Karate huko Okinawa, Japan.
 Sensei Rumadha Fundi, ni mmoja ya wawakilishi wa Goju Ryu Jundokan, atayoiwakilisha Tanzania kwenye msafara huo.. Baada ya takriban...

 

10 years ago

Vijimambo

Texas Karate Black Belts Seminar Houston. Texas

 Texas Black Belts club Seminar , imeandaliwa na Sensei Ramon Veras, Dan 7, Okinawa Goju Ryu Kyokai, mjini Houston, Texas tarehe 19 April, 2015. Pia ni sehemu moja ya maandalizi na marekebisho ya mbinu na ufundi wa vipande tofauti katika mfumo mzima wa  Sanaa na tayari kwa baadhi ya washiriki kwa msafara wa kwenda kwenye chimbuko la Karate huko Okinawa, Japan. Sensei Rumadha Fundi, ni mmoja ya wawakilishi wa Goju Ryu Jundokan, atayoiwakilisha Tanzania kwenye msafara huo..
 Baada ya takriban...

 

10 years ago

Vijimambo

KASESELA AJIFUA TAYARI KWA PAZI REUNION HOUSTON JUMAMOSI HII

Aliyekua mchezaji wa Pazi enzi hizo na mwenyekiti wa chama cha mpira wa kikapu Tanzania Bwn Richard Kasesela akiwa gym akijiweka sawa na Pazi Reunion itakayofanyika Houston, Texas Jumamosi March 14, 2014. Pazi Reunion itawashikisha wachezaji wazamani waliowahi chezea Pazi na timu nyingine za mchezo huo miaka ya nyuma Tanzania. Wachezaji wengine wa Pazi wanaotarajiwa kushiriki tamasha hilo ni Atiki Matata na Sidi kutoka Uingereza.

 

11 years ago

Michuzi

BISHOP MABOYA KUHUBIRI NENO KATIKA JIJI LA DALLAS,TEXAS USA

Kwa niaba ya uongozi wa Kanisa la Umoja International Outreach lenye makao yake ktk jiji hili la Dallas, ninapenda kumkaribisha kila mtu ktk semina ya neno la Mungu.  Semina hii ya aina yake itaongozwa na mtumishi Bishop Dunstan Maboya (pichani juu) kutoka Tanzania. Mungu amekuwa  akimtumia huyu mtumishi kwa ishara na miujiza mingi.Ninapenda kumkaribisha kila mtu ktk semina hii.Leteni wagonjwa mbali mbali kwa ajili ya maombezi.
Siku: Tarehe 16-18 (Friday-Sunday) Time:Friday ni 6:00pm   ...

 

11 years ago

Vijimambo

SALAMU TOKA HOUSTON, TEXAS


Wadau wa H Town wakipata picha ya pamoja wakati walipovinjali Dave & Busters kutoka kushoto ni Ally Mjungu, Juma Kitenge, Jose Mlaki, Saidi Nusura na Gasper Assenga 

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA HOUSTON, TEXAS NA TANZANIA

Marehemu Edmund Mushi enzi za uhai wakeWanajumuiya,
Kwa masikitiko makubwa, tunasikitika kutangaza kifo cha mwanajumuiya mwenzetu Bw. Edmund Mushi.
Ndugu yetu Edmund amefikwa na mauti usiku wa kuamkia leo June 23, 2015 katika hospital ya Houston Northwest Medical Center alipokuwa amelazwa.
Tunatoa wito kwa wanajumuiya kuwa na subira katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo. Taarifa zaidi za hatua itakayofuata zitatolewa mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha wanandugu wa karibu baadaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani