Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenyatta asema maombi kuhusu ICC yataendelea

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amepuuzilia mbali onyo la mahakama ya ICC la kuwataka Wakenya wakome kuijadili kesi inayoendelea kusikizwa dhidi ya Naibu Rais wa Kenya William Ruto na mwandishi wa habari Joshua Sang.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Balozi Kamau azungumzia uamuzi wa ICC kuhusu Kenyatta


Mwakilishi wa kudumu wa
Kenya katika
Umoja wa Mataifa
Balozi Macharia
 Kamau.
(Picha ya UM/Mark Garten)
Siku ya Ijumaa tarehe Tano Disemba mwaka 2014, mahakama ya kimataifa ya uhalifu, ICC huko The Hague, Uholanzi ilitupilia mbali mashtaka dhidi ya Uhuru Kenyatta. Mwendesha Mashtaka Mkuu Fatou Bensouda alieleza kuwa uamuzi huo unazingatia kuwa hawana ushahidi wa kutosha wa kuweza kuthibisha pasipo shaka mashtaka matano yaliyokuwa yanamkabili Kenyatta. Kufuatia uamuzi huo, Joseph Msami wa Idhaa...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Kamau azungumzia uamuzi wa ICC kuhusu Rais Uhuru Kenyatta

a
Mwakilishi wa kudumu wa Kenya katika Umoja wa Mataifa Balozi Macharia Kamau.(Picha ya UM/Mark Garten)Siku ya Ijumaa tarehe Tano Disemba mwaka 2014, mahakama ya kimataifa ya uhalifu, ICC huko The Hague, Uholanzi ilitupilia mbali mashtaka dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. Mwendesha Mashtaka Mkuu Fatou Bensouda alieleza kuwa uamuzi huo unazingatia kuwa hawana ushahidi wa kutosha wa kuweza kuthibisha pasipo shaka mashtaka matano yaliyokuwa yanamkabili Kenyatta. Kufuatia uamuzi huo, Joseph...

 

10 years ago

BBC

ICC ultimatum over Kenyatta trial

The International Criminal Court gives prosecutors an ultimatum to bring a case against Kenya's president or to drop charges of crimes against humanity.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabunge kuandamana na Kenyatta ICC

Idadi kubwa ya wabunge nchini Kenya wanajiandaa kuandamana na Rais Uhuru Kenyatta ICC, anakotarajiwa kuhudhuria kikao maalum

 

10 years ago

BBC

Kenyatta confirms attending ICC

Kenyan President Uhuru Kenyatta tells parliament he will attend the International Criminal Court this week and put his deputy in charge while he is away.

 

10 years ago

BBC

ICC readies for Kenyatta appearance

The International Criminal Court is holding the first of two days of hearings in which Kenyan President Uhuru Kenyatta will appear before it.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Kenya's Kenyatta to appear at ICC

Kenyan President Uhuru Kenyatta prepares to appear before the International Criminal Court at The Hague.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani