Kesi ya wakili anayedaiwa kumpiga 'hausigeli' yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeahirisha tena kesi inayomkabili Wakili wa Serikali, Yasinta Rwechungura (44), hadi Agosti 29, mwaka huu kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania