Kikwete- Wajumbe waache kashfa
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, kuacha kuwakashifu waasisi wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume. Amesema yeye hatishwi na vijembe, wanavyotoa baadhi ya wabunge wa Bunge hilo. Lakini, ameonya waache kutoa vijembe vikali, alivyoviita “vya chini ya mkanda”, mfano kukashifu waasisi wa Taifa. Rais amesisitiza kuwa ana matumaini makubwa na mchakato wa Katiba mpya, unaoendelea na kwamba anafurahia jinsi mijadala, inavyoendeshwa...
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bLf6taEHR2E/U_hU9fhazgI/AAAAAAAGBnU/_nRKy3-KaYE/s72-c/u10.jpg)
Rais Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji morogoro, awataka viongozi waache woga katika kusimamia sheria
![](http://2.bp.blogspot.com/-bLf6taEHR2E/U_hU9fhazgI/AAAAAAAGBnU/_nRKy3-KaYE/s1600/u10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DizsFs4igeI/U_hVYYbxHcI/AAAAAAAGBnc/m09Z4afSpJw/s1600/u12.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iP2mKrWAGnM/U_hXrlAE8iI/AAAAAAAGBpc/18UkHjE6C-A/s1600/u26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kPm-iNPMWIs/U_hX3W0HFPI/AAAAAAAGBps/G5uVS_t2grM/s1600/u27.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wKuVLNLSgXU/U3ZlQhccPMI/AAAAAAAFiKo/fzsznPUkUZw/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Rais Kikwete akutana na wajumbe wa IFAD
![](http://4.bp.blogspot.com/-wKuVLNLSgXU/U3ZlQhccPMI/AAAAAAAFiKo/fzsznPUkUZw/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--DIvCOQTHCs/U3ZlQU6MC1I/AAAAAAAFiKk/xgui1mdzE08/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Kikwete: Wajumbe Bunge la Katiba kutangazwa leo, kesho
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f83iWIcmGmE/VQb_BzHj0PI/AAAAAAAHKzQ/zzc6eD-7aRQ/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Rais Kikwete awaapisha wajumbe wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-f83iWIcmGmE/VQb_BzHj0PI/AAAAAAAHKzQ/zzc6eD-7aRQ/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Ushauri wa #Kikwete kwa wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Lawama ziende kwa wajumbe wa Katiba, si Rais Jakaya Kikwete
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ildl7McSLI/VAL5TmuP0BI/AAAAAAAGX9c/gx9W8b3v7vo/s1600/uk1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s72-c/534807487.jpg)
UWT YAMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s1600/534807487.jpg)
Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) umempongeza Mhe. Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kwa uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza leo Mjini Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es Salaam kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Eva Mwingizi ilisema uteuzi wa Rais umezingatia umri, weledi, uzoefu na uwakilishi wa makundi mbalimbali ya kijamii.
Mwingizi alisema uteuzi huo umeangalia asilimia 50 ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/0lcLfTS8dl4/default.jpg)