KIM KARDASHIAN KUKUMBWA NA KISUKARI CHA UZAZI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/kim1.jpg)
Mwanamitindo maarufu wa Marekani, Kim Kardashian. Kim Kardashian akifanyiwa uchunguzi kwa njia ya Ultra Sound. ...Akiwa na mwanaye North. MWANAMITINDO maarufu wa Marekani, Kim Kardashian, amefichua kwamba anaweza kukumbwa na kisukari cha uzazi wakati akisubiri kujifungua mtoto wake wa pili. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 34 na anayeelekea mwishoni mwa kipindi chake cha ujauzito aliyasema hayo akiwa na… ...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet27 Mar
Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters
5 years ago
Cosmopolitan.Com05 Apr
Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight
11 years ago
Bongo509 Aug
Kim Kardashian kutoa kitabu cha picha za Selfie kitakachoitwa ‘Selfish’
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Kardashian ahofia kupata kisukari
NEW YORK, MAREKANI
MKE wa Kanye West, Kim Kardashian, amehofia kupata ugonjwa wa kisukari kutokana na ulaji wake wa ovyo wa vyakula vya aina mbalimbali kipindi hiki cha ujauzito wake.
Mrembo huyo anatarajia kupata mtoto wa pili kabla ya Desemba 26.
“Ninaamini nina afya njema, lakini kuna wakati najikuta nakula bila mpangilio hivyo naweza kupata ugonjwa wa sukari, ninaamini hali hii inatokana na ujauzito na ndiyo maana muda mwingi natamani kula,” alisema Kim.
Hata hivyo, mrembo huyo atakuwa...
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Kim kardashian ni mjamzito
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuLxX2gTZNwFkkccX2zbw5vd7DPdVHnf2oATGRviYUq3oRVqJvNFIcNHbOmIlJ8MAvb*WsIQgGD5xfF-5KtRQexf/KylieJennerMakeup2014AmericanMusicAwards.jpg?width=650)
MDOGO WA KIM KARDASHIAN ACHUMBIWA