KINANA KWIMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CigJpKZEpUs/VYpyaj-s1gI/AAAAAAAAfcM/2mkEw7xIfhk/s72-c/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Kwimba Mhe. Shanif Hilan Mansoor wakati wa mapokezi kwenye kijiji cha Mwamaya kata ya Hungumalwa wilaya ya kwimba mkoani Mwanza.
Walinzi wa Jadi wa kisukuma maarufu kwa jina la Sungusungu wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa kwenye mavazi ya jadi ya walinzi wa Kisukuma maarufu kama Sungusungu.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
Michuzi