Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIPINDI CHA DANGA CHEE JUMA HILI: USO KWA USO NA ISHA MASHAUZI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

USO KWA USO NA ALIYEKUWA MMILIKI WA KIOTA CHA MARAHA MILLENIUM JIJINI LOS ANGELES, CA

Chief Bongam akiwa kwenye ukodak na aliyekuwa Partner wake enzi za Millenium Lounge & Restaurant Bwana Peter LigateChief Bongam akiwa kwenye ukodak na Bwana na Bibi Ligate alipozuru Los Angeles Kibiashara ndani ya Kiota cha Maraha ya Jazz kiitwacho LA LouisanneChief Bongam Enzi za Millenium Nyuma ya Counter na MtejaMillenium Lounge & Restaurant Ilijulikana sana kwa Chakula Kizuri cha Kitanzania Chini ya Usimamizi wa Chef Shabani na Abdul aka Dogo Bila ya kusahau Usimamizi wa Karibu wa...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Muwania kuteuliwa ubunge Tabora uso kwa uso na Mh Aden Rageh

Bandora Salum Mirambo akiwasilia katika ofisi za CCM wilaya ya Tabora kuchukua fomu za ubunge wa Tabora mjiniWagombea ubunge wa jimbo la Tabora mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Mh Aden Rageh na Bandora Mirambo leo
hii walikutana uso kwa uso walipofika ofisi za CCM wilaya kuchukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea ubunge wa wa Tabora mjini. Wote wawili katika kuonesha siasa si chuki wala ugomvi walilakiana na kusalimiana kwa uzuri kabisa.


Wawania kuteuliwa na CCM...

 

11 years ago

Michuzi

Msondo, Sikinde uso kwa uso Iddi Mosi TCC Club

Mlimani Park Orchestra “Sikinde”Msondo Ngoma BandMagwiji wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma Band na Mlimani Park Orchestra “Sikinde” siku ya Iddi Mosi watachuana vikali katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe, Temeke. Mpambano huo wa Nani Mtani Jembe ni kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Id El Fitr na pia litaamua ni bendi ipi kali kati yao. Mratibu wa mchuano huo, Joseph Kapinga amesema pambano hilo litaanza saa nane alasiri hadi majogoo. Kapinga alisema bendi zote mbili ziko msituni...

 

11 years ago

Michuzi

ankal uso kwa uso na wazee wa kazi jijini london leo

 Wazee wa kazi wa Serengeti Freight Forwarders  ya jijini London Kaka Muhsin (kushoto) na Kaka Chris  wakiwa wametulia tuli kabla ya kumpa ofa ya bonge la lunch ya usiku huu Ankal katika hoteli ya Hyatt Regency Churchill, London. Ankal akila selfie na Wazee wa Kazi Kaka Muhsin (kushoto) na Chris ambao pia walitumia nafasi hiyo kusherehekea kuhamisha ofisi yao ya Serengeti Freight Forwarders. Wao wanakuwa wamatumbi wa kwanza kuwa na ofisi sehemu za  Tilbury Port. Soma maelezo hapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani