Kipindi cha malalamiko kimeanza
Kumekucha. Ligi Kuu Bara imeshaanza kutimua vumbi. Safari ya lawama imeanza. Kwa wenzetu, kila msimu mpya unapoanza kuna mambo mengi mapya hutokea, lakini kubwa ni kuongezeka kwa ushindani. Kwetu, hali ni tofauti. Jicho namba 12 linafahamu jambo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s72-c/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
TATHIMINI YA HALI YA UHALIFU MKOA WA MBEYA KWA KIPINDI CHA FEB- 2014 IKILINGANISHWA NA KIPINDI CHA MWEZI JAN- 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s1600/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g8Pcwf5OgxU/U288bmIru8I/AAAAAAAAYFM/EbLLH3fGX4Y/s72-c/TMT+TVP.jpg)
9 years ago
Habarileo02 Dec
Sababu ya malalamiko kiwanda cha sukari
BODI ya Sukari Tanzania imesema chanzo cha malalamiko ya wakulima wa miwa wanaozunguka Kiwanda cha Sukari cha Kilombero (ILOVO) ni kutokana na mashine kiwandani kuharibika bila kutarajia na kusimamisha uzalishaji.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yOyPTd0Bxrc/VN985nBM83I/AAAAAAAAH5w/4dGQvmQxPn8/s72-c/Studio%2Bndogo.jpg)
Kipindi cha Reggae Time cha PRIDE FM.....Jumamosi Feb 14, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-yOyPTd0Bxrc/VN985nBM83I/AAAAAAAAH5w/4dGQvmQxPn8/s1600/Studio%2Bndogo.jpg)
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Katika kipindi kilichomalizika leo, Februari 14, 2015 tumezungumzia kuhusu siku ya wapendanao na kusikiliza nyimbo zilizogusia mahusiano kwa namna zote.
Karibu uungane nasi
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2lIgV2d714M/VOjBsAH9B-I/AAAAAAAAH6c/DgTFN16z3Cg/s72-c/Studio%2Bndogo.jpg)
Kipindi cha Reggae Time cha PRIDE FM.....Jumamosi Feb 21, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-2lIgV2d714M/VOjBsAH9B-I/AAAAAAAAH6c/DgTFN16z3Cg/s1600/Studio%2Bndogo.jpg)
Katika kipindi kilichomalizika leo, Februari 21, 2015 tumezungumzia kuhusu MAISHA.
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N0gJ_06keVA/U5CYUJtNYHI/AAAAAAAFn2s/vpO7BxOvfko/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Channel ten imeanza kipindi cha DK 45 cha KUELEKEA KOMBE LA DUNIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-N0gJ_06keVA/U5CYUJtNYHI/AAAAAAAFn2s/vpO7BxOvfko/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vOnoa5ehX-M/U5CYUF6hdcI/AAAAAAAFn2o/uMuZ7YkWgKc/s1600/unnamed+(26).jpg)
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Tuepuke ajali hizi kipindi cha lala salama cha kampeni
Vyombo mbalimbali vya habari nchini jana vilisheheni habari ya vifo vya watu wanne akiwamo aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Deo Filikunjombe. Vifo hivyo vilitokana na ajali ya helikopta iliyoanguka kwenye mbuga ya Selous Alhamisi usiku, walipokuwa safarini wakitoka Dar es Salaam kwenda Ludewa.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-D2xa9jyxSc0/VNV53kpTTjI/AAAAAAAAH4A/bkFlNNE0SZQ/s72-c/Studio%2BTwo.jpg)
Kipindi cha Reggae Time cha PRIDE FM.....Jumamosi Feb 7, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-D2xa9jyxSc0/VNV53kpTTjI/AAAAAAAAH4A/bkFlNNE0SZQ/s400/Studio%2BTwo.jpg)
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Katika kipindi kilichomalizika leo, Februari 7, 2015 tumezungumzia kuhusu historia ya Hayati BOB MARLEY. Msanii maarufu zaidi wa Reggae duniani, ambaye siku ya jana ulimwengu ulikumbuka miaka 70 tangu kuzaliwa kwake
Karibu uungane nasi
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania