KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA LAMALIZIKA LEO JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wj3Vn830mGc/Uv9pUnF6CjI/AAAAAAAFNNk/BmkzvzElYho/s72-c/38.jpg)
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mh. Christopha Chiza akitoa hotuba yake wakati wa kufunga Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa,lililomalizika leo kwenye hoteli ya Malaika,jijini Mwanza.Mh. Chiza amelifunga Kongamano hilo kwa niaba ya Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda ambaye hakuweza kuhudhulia kutokana na kubanwa na shughuli nyingi za Kitaifa.Kongamano hilo ambalo limefanyika kwa siku tatu mfululizo,liliweza kujadili mambo mengi kuhusiana na fursa ya kuwekeza katika Kanda hiyo ya Ziwa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ulpii6yz8zQ/Uv3a3iwOU-I/AAAAAAAFNFk/MUvXTMWufKo/s72-c/2.jpg)
KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA LAENDELEA LEO KWA SIKU YA PILI JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ulpii6yz8zQ/Uv3a3iwOU-I/AAAAAAAFNFk/MUvXTMWufKo/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MieGxfcfQzA/Uvy948dnhaI/AAAAAAAFMyY/hWOo7mDFJDo/s72-c/19.jpg)
MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA,JIJINI MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-MieGxfcfQzA/Uvy948dnhaI/AAAAAAAFMyY/hWOo7mDFJDo/s1600/19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LUFZWylCtbA/Uvy97kQnThI/AAAAAAAFMyg/zkMCxpGxD34/s1600/13.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m7KdXq93WEs/Uvy97i9blyI/AAAAAAAFMys/ilYVi0IZyNQ/s1600/15.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nvZOifQExRY/UvvVaGRulFI/AAAAAAAFMq0/KB0pUVmsFUk/s72-c/MMG20566.jpg)
MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AWASILI JIJINI MWANZA JIONI YA LEO,KUFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nvZOifQExRY/UvvVaGRulFI/AAAAAAAFMq0/KB0pUVmsFUk/s1600/MMG20566.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B6CBjujsJqg/UvvVbdKbUeI/AAAAAAAFMrE/SnGp-dP5sNI/s1600/MMG20575.jpg)
11 years ago
MichuziMatunda ya Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa yaanza kuonekana
Mwekezaji huyo amevutiwa zaidi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AxZjMpHFSfo/UvtRWM56tGI/AAAAAAAFMg8/NSMeIuJORtI/s72-c/20140212_132706.jpg)
Maandalizi ya Kongamano la Uwekezaji katika Maeneo ya Kanda ya Ziwa yanaendelea
![](http://4.bp.blogspot.com/-AxZjMpHFSfo/UvtRWM56tGI/AAAAAAAFMg8/NSMeIuJORtI/s1600/20140212_132706.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4sL00jsJlOM/UvtR5Envc9I/AAAAAAAFMhY/Qnvns1C7erw/s1600/20140212_133234.jpg)
11 years ago
MichuziHATIMAYE WASHINDI WATATU WA MASHINDANO YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI (TANZANIA MOVIE TALENTS) KWA KANDA YA ZIWA WAPATIKANA LEO JIJINI MWANZA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jNXOK5856h8/U-TVr-pnDCI/AAAAAAAF96k/egiG2tm5l9g/s72-c/unnamed+(73).jpg)
MH. PINDA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jNXOK5856h8/U-TVr-pnDCI/AAAAAAAF96k/egiG2tm5l9g/s1600/unnamed+(73).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-691VFTxJ90U/U-TVtDO-coI/AAAAAAAF96s/JX6dIPjzVts/s1600/unnamed+(74).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EA0ZPJ6FVGY/VfA1KEFyyzI/AAAAAAAH3kg/1LohMjK_J9I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI UKANDA WA ZIWA TANGANYIKA, MJINI KIGOMA LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-EA0ZPJ6FVGY/VfA1KEFyyzI/AAAAAAAH3kg/1LohMjK_J9I/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nLM1h7OFbCk/VfA1N4maChI/AAAAAAAH3lA/A7lSccdbqPY/s640/3B.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JBLBLEDKFbs/UvvGGZ0UxeI/AAAAAAAFMqk/jA0w3RTUdDQ/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...