Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lazaro Nyalandu na Aunt Ezekiel Wachanwa Bungeni!!!

 Jana wakati mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema , akichangia  hoja Bungeni nakudai kuwa mawaziri wengi  hawana ubunifu nakumrushia “bomu”  Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kuwa anazunguka nje ya nchi na msichana kwa madai ya kutangaza utalii.

Lema alisema;

“Angalia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alikwenda kutangaza utalii nje ya nchi akiwa ameongozana na (mwigizaji maarufu wa filamu wa Tanzania) Anti Ezekiel,” alisema na kuongeza kuwa waziri huyo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI LAZARO NYALANDU AZUNGUMZIA TETESI ZA KUTANUA NA AUNT EZEKIEL NCHINI MAREKANI

Baada ya vyombo vya habari kuripoti kuhusu Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu(Pichani juu) na msanii wa filamu Aunty Ezekiel kuvinjari nchini Marekani hatimaye waziri huyo Aunt Ezekielalisema tuhuma hizo zimetengenezwa na kundi la watu ambalo miongoni mwao ni baadhi ya viongozi wa Serikali ambao humchafua kutokana na utendaji kazi wake.
Nyalandu alisema alikwenda Marekani septemba12 kwa ajili ya kufungua tamasha la utamaduni na utalii kupitia soko la wasanii wa Tanzania ambako...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI NYALANDU AFUNGUKIA MIMBA YA AUNT EZEKIEL

Mwandishi Wetu Hatimaye Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye ni Mbunge wa Singida Kaskazini kwa leseni ya CCM, Lazaro Samwel Nyalandu na mkewe Faraja Kotta wamejibu tetesi kuwa mheshimiwa alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye ni Mbunge wa Singida Kaskazini kwa leseni ya CCM, Lazaro Samwel Nyalandu akiwa na mkewe Faraja Kotta. Awali tetesi...

 

10 years ago

Mwananchi

Aunt Ezekiel afunguka kuhusu uhusiano wake na Waziri Nyalandu

Umewahi kusikia mwigizaji Aunt Ezekiel akihusishwa na uhusiano na Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu? Basi mwigizaji huyo amefunguka na kuwajia juu wale wote wanaomchafua na kudai kuwa hakuna kama baba wa mtoto wake Mose Iyobo.

 

10 years ago

Michuzi

WASANII KASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL NA AJ UBAO KUNOGESHA TAMASHA LA UTALII NA MIAKA 4 YA VIJIMAMBO MGENI RASMI MHE. LAZARO NYALANDU

Vijimambo Blog kwa ushirikiano wa pamoja na Ubalozi wa Jamhuri ya Muunagano wa Tanzania ikiwemo Jumuiya ya Watanzania DMV inawaletea miaka 4 ya Vijimambo ikiutangaza Utalii wa Tanzania na kukemea ujangili siku ya September 13, 2014. Njoo ujivunie maliasili na utalii wa nchi yako sote kwa pamoja yunaweza kuitangaza nchi yetu na kukemea ujangili kwa kauli moja yenye nguvu inayosikika kimataifa.
Msanii wa Bongo Movie Aunty Ezekiel kunogesha tamasha la utalii siku ya Jumamosi Sept 13, 2014Msanii...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MHE LAZARO NYALANDU

Waziri NyalanduSIKU ya Mkesha wa Mwaka Mpya, Desemba 31, 2014, nilikaribishwa kushiriki ibada ya Mkesha na Baba Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ephata, Josephat Mwingira, iliyofanyika Kibaha mkoani Pwani. Mkesha huo ulitangazwa moja kwa moja kwenye kituo cha luninga cha Star TV na kuhudhuriwa na maelfu ya watu. Katika Mkesha huo, nilipewa fursa ya kuwasalimia waumini na kushirikiana nao katika neno la Mungu, ambapo huku nilieleza matumaini yangu kwa Taifa letu na ushiriki wa vijana katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Lazaro Nyalandu: Waziri wa Maliasili na Utalii

Lazaro Nyalandu alizaliwa Agosti 18, 1970 mkoani Singida, hivyo atafikisha miaka 45 Agosti mwaka huu. Kwa sasa yeye ni Waziri wa Maliasili na Utalii.

 

11 years ago

IPPmedia

Natural Resources and Tourism minister, Lazaro Nyalandu


IPPmedia
Natural Resources and Tourism minister, Lazaro Nyalandu
IPPmedia
The hunting firm whose license was revoked last week over the alleged violation of Wildlife Conservations Act No 5 of 2009, Green Miles Safaris Limited (GMS), has admitted that the video handed over to the government by Natural Resources and Tourism ...

 

11 years ago

IPPmedia

The Minister of Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu


IPPmedia
The Minister of Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu
IPPmedia
Tanzania has signed an agreement with the International Conservation Caucus Foundation (ICCF) and the United Nations Development Programme (UNDP) to curb the current wave of poaching. The signing of the Memorandum of Understanding (MoU) took ...
Summit on jumbos scheduled for DarDaily News
Tanzania Jails Chinese Ivory Smuggler for 20 YearsNaharnet
Tanzania jails ivory smuggler for 20 yearsNews24

all 19

 

11 years ago

IPPmedia

Minister for Natural Resources and Wildlife, Lazaro Nyalandu


IPPmedia
Minister for Natural Resources and Wildlife, Lazaro Nyalandu
IPPmedia
The Tanzania Elephant Management Plan 2010-2015 says Tanzania should have a naturally functioning elephant population if it ensures that their habitat, corridors, dispersal areas are secured, and reduces human-elephant conflict. The plan published by ...
Eager Ivory Sellers Fueling Elephant SlaughterNBCNews.com (blog)
Sweeney asks for ban on ivory salesLegislative Gazette

all 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani