Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LEO MANCHESTER UNITED 2-1 EVERTON, CHELSEA 2-0 ARSENAL

 Na Sultani KipingoYaani ni kama kwamba kubadilika kimchezo kwa  kipa wa Man U David de Gea kutoka kuwa mchekea hadi mmoja wa makipa bora wa ligi kuu ya Uingereza kumekamilika. De Gea, hapana shaka, leo amedhihirisha kuwa mmoja wa walinda mlango hodari, tofauti na na msimu uliopita alipookuwa chini ya kocha David Moyes. Leo Mhispania huyu ameokoa penati na kupangua mipira kibao kumyima Mzee Arsene Wenge na Arsenal yake pointi 2 na kumuokoa kocha mpya Louis van Gaal kutoka katika kuti kavu

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Football.London

Cesc Fabregas on Arsenal snub and why he joined Chelsea over Manchester United

Cesc Fabregas on Arsenal snub and why he joined Chelsea over Manchester United  Football.LondonWhy Cesc Fabregas left Arsenal for Barcelona in 2011  Sky Sports‘I’m going back to Arsenal’: £110k-a-week star opens up on failed Emirates return  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, Music‘Alonso begged for Arsenal move over Real Madrid’ – Fabregas frustrated Gunners did no deal with Liverpool  Goal.comFabregas on why he chose Chelsea over Man United and City as Arsenal rejected chance to re-sign...

 

10 years ago

GPL

HALF TIME: EVERTON 2-0 MANCHESTER UNITED

James McCarthy (kushoto) akishangilia na Romelu Lukaku  baada ya kuifungia Everton bao la kwanza. John Stonesakiifungia Everton bao la pilikwa kichwa. Kwa sasa ni mapumziko, Everton wanaongoza kwa mabao 2-0 dhidi ya Manchester United katika mechi ya Ligi Kuu ya England inayoendelea kwenye Uwanja wa Goodison Park. Mabao ya Everton yamefungwa na J.McCarthy dakika ya 5 na J. Stones dakika ya 35 ya kipindi cha kwanza. Vikosi:...

 

5 years ago

BBC

Arsenal 3-2 Everton: Aubameyang nets twice as Arsenal beat Everton in thriller

Mikel Arteta's encouraging rebuilding job at Arsenal continues with a win over a stubborn Everton, which could have a big say in the race for European football.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal 2-0 Manchester United

Arsenal inaikaribisha Manchester united nyumbani uwanjani Emirates

 

11 years ago

BBC

Chelsea 3-1 Manchester United

Cameroon's Samuel Eto'o scores a hat-trick as Chelsea severely dent Manchester United's title hopes with victory at Stamford Bridge.

 

5 years ago

Evening Standard

Manchester United XI vs Everton: Confirmed team news, predicted lineup, latest injuries for Premier League match

Manchester United XI vs Everton: Confirmed team news, predicted lineup, latest injuries for Premier League match  Evening StandardEverton vs Man United: Predicted XI with Ighalo to start  The Peoples PersonOle Gunnar Solskjaer provides injury update on Marcus Rashford  CaughtOffside'Grealish could do so much better than Manchester United' - Aston Villa star told not to 'limit himself'  Goal.comAnthony Martial not fit to play Everton, report claims  The Peoples PersonView Full coverage on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yailaza Manchester United

Jose Mourinho amesema kuwa wachezaji muhimu wa Manchester United walizuia katika mechi iliochezwa kulingana na mahitaji yake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatoka sare na Manchester United

Arsenal yapotza nafasi ya kurejea kileleni mwa ligi kuu baada ya kutoka sare na Manchester United katika uwanja wa Emirates.

 

10 years ago

Mwananchi

Manchester United, Chelsea zashindwa kutamba

Ndoto za Manchester United za kuzifukuzia Chelsea na Manchester City katika mbio za kusaka ubingwa zimeingia doa baada ya kulazimishwa kwenda suluhu na Tottenham Hotspurs.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani