Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAENDELEO YA PROJECT YA T.E.S NDANI YA UNIVERSITY OF THE DISTRICT OF COLUMBIA


Machine ya kukaushia matunda na samaki kwenye shamba la University of the District of Columbia huu ndiyo muonekano wake hadi sasa baada ya kuanza kuleta picha ya kuwa tayari kufanya kazi katikati ya mwezi ujao. Machine hii ni maalum kwa ajili ya wanafunzi wa chuo hicho.
Hii ndiyo computer itakayoendesha mashine mzima ikisubiri kufungwa Manager wa project bwana William alianza kutoa plastic hili aone itaonekana vipi baada ya kukamilika. Engineer na designer wa machine hii  Dr Temba akipata...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PITA PITA YA VIJIMAMBO NDANI YA SHAMBA LA UNIVERSITY OF THE DISTRICT OF COLUMBIA


Project ya ujenzi wa machine ya kukaushia samaki na matunda iliyobuniwa na Dr Temba imeenza kuwaka kama unavyoona kwenye picha project manager bwana William akiiwasha machine hiyo kwa mara ya kwanza na pembeni yake ni Dr Temba na nyuma William ni Sam fundi umeme.

Dr Temba akiongeza speed ya machine hiyo kwa majaribio kabda ya vifaa vingine kufungwa na company yake ya T.E.S kutoka Brooklyn. NY.

Hapa ni sehem itakayofungwa compute maalum itakayoendesha machine hii.
Wageni wakiaangalia machine...

 

9 years ago

Vijimambo

UKODAK WA VIJIMAMBO ULIVYOTEMBELEA UNIVERSITY OF THE DISTRICT OF COLUMBIA


Dr Temba akisimama mbele ya machine ya kukaushia samaki na matunda aliyoidesign kutoka New York na kwenda kuifunga hapa yeye na Ny Ebra kwa ajili ya shamba la wanafunzi wa University of the District of Columbia Washington DC. Dr Temba na company yake ya T.E.S ilipata tenda ya ku design machine hii maalum yenye uwezo wakutumia umeme wa kawaida, generator na solar power hili kufundishia wanafunzi wa chuo hicho jinsi ya kukausha samaki na matunda yanayopatikana kwenye shamba la chuo hicho...

 

10 years ago

Vijimambo

PITA PITA YA VIJIMAMBO NA T.E.S NA UNIVERSITY OF DISTRICT OF COLUMBIA

 Smoke house kwa ajili ya wanafunzi wa University of District of Columbia iliyodesigniwa na Temba Engineering Service ikifungwa kwenye shamba maalum la chuo hicho maeneo ya Maryland.  Smoke house hii itakuwa na uwezo wa kukausha samaki na matunda kwa upande wa umeme itakuwa na uwezo wa kutumia generator, umeme wa kawaida na umeme wa soral power.  

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA CHILDREN'S PROJECT YAFANYA HARAMBEE KUSAIDIA WATOTO TANZANIA COLUMBIA, MARYLAND

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akihudhuria harambee ya Tanzania Children's Project inayoshughulisha na miradi ya afya na elimu Tanzania iliyofanyika siku ya Jumamosi March 21, 2015 Columbia, Maryland. Kulia ni Timothy Lynch ambaye ni Rais wa NGO hiyo, Mhe. Balozi Liberata Mulamula aliongozana na Afisa wa Ubalozi Switebert Mkama(pichani kushoto)Rais wa Tanzania Children's Project Bwn. Timothy Lynch katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe....

 

10 years ago

GPL

HISIA WA TUSKER PROJECT FAME 6 NDANI YA STUDIO ZA GLOBAL TV ONLINE

Mshiriki wa shindano la Tusker Project Fame 6, Elisha Maghija 'Hisia' akiwa katika pozi na Prizenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'Pam D' ndani ya studio za Global TV Online leo.…

 

10 years ago

Vijimambo

Dodoma University and Rutgers University Sign MoU on Academic Partnerships

 The Dodoma University Vice Chancellor Professor Idris Kikula and Rutgers University Chancellor Richard Edwards sign Memorandum of Understanding between the two universities on academic partnership during a brief and colorful ceremony held at New Jersey  Rutgers University campus yesterday.  The Dodoma University Vice Chancellor Professor Idris Kikula and Rutgers University Chancellor Richard Edwards sign Memorandum of Understanding between the two universities on academic partnership during...

 

10 years ago

Michuzi

The Journey of 10 BG Tanzania Scholars who will join University of Aberdeen and Robert Gordon University in UK to pursue their MSc Degree studies in Oil and Gas

The British Council Tanzania started the journey of BG Tanzania scholarship on February 2014 with promotion and awareness creation to the Universities in different regions in Tanzania, receiving applications and selection of 10 scholars followed by scholarship awarding to 10 scholars.
The British Council conducted a pre-departure briefing on 15 August, 2014 as part of preparation for their studies in UK to 10 BG Tanzania Scholars who won the award to study Master’s degree in oil...

 

10 years ago

Michuzi

inauguration of a new degree program, Master of Science (Applied Economics and Business) at mzumbe university, Morogoro, in collaboration with CMR University of Bangalore, India

 The Acting Vice Chancellor, Mzumbe University, Prof. Josephat Itika (right) presenting a souvenir to a the High Commissioner of India to Tanzania, Mr. Debnath Shaw during the inauguration of a new degree program, Master of Science (Applied Economics and Business) over the weekend in Dar es Salaam.  The new course to be run in collaboration with CMR University of Bangalore, India starts this month at Mzumbe’s Dar es Salaam campus college.  Looking on is the Deputy Vice Chancellor, Finance...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani