Makamu wa Rais akutana na uongozi wa NEC-Japan Ikulu Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Rais wa Shirika la NEC Corporation la Japan, Dkt. Nobuhiro Endo, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Septemba 12, 2014 akiwa ameongozana na ujumbe wake kwa ajili ya mazungumzo. (Picha na OMR).
Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal leo amekutana na Uongozi wa Kampuni ya NEC yenye makao yake makuu jijini Tokyo nchini Japan....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i4eY8dHHhas/VBLdEpNqITI/AAAAAAAGjNw/bIyi5637DRM/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UONGOZI WA NEC-JAPAN IKULU JIJINI DAR LEO
Ujio wa Kampuni hii nchini Tanzania unatokana na mwaliko wa Tanzania kwa makampuni ya Japan kufuatia ziara ya kikazi aliyoifanya Mheshimiwa Makamu wa Rais nchini Japan, mwezi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HVQlvuyRVKs/VBGD9UdaHMI/AAAAAAAGi48/olyt84FOuJ0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA BARAZA LA HABARO TANZANIA (MCT), IKULU DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HVQlvuyRVKs/VBGD9UdaHMI/AAAAAAAGi48/olyt84FOuJ0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T_dXjzxthds/VBGD9wYKZMI/AAAAAAAGi5A/xdxAbYJXK48/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Rais akutana na uongozi wa Chama cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam jana. Walioketi kushoto ni Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha Rose Migiro, Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe George Mcheche Masaju Kamishna wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabirika Mushi na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw. Emmanuel Achayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-s2tOLC1_jU0/VPieM-t8vlI/AAAAAAAHH6M/tQ6A2Oa6tEA/s1600/a2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifafanua jambo wakati akiongea na viongozi...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT BILALA AKUTANA UJUMBE WA BRN IKULU JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H2_rwymNZXY/VbkO3fWMy8I/AAAAAAAHsmI/omlVFk4VQS4/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA SUMATRA, TRA, TABOA, RC-DSM NA WAZIRI WA FEDHA IKULU KWA MAZUNGUMZO, PIA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA ECG NA AL KAN KUTOKA MISRI
![](http://3.bp.blogspot.com/-H2_rwymNZXY/VbkO3fWMy8I/AAAAAAAHsmI/omlVFk4VQS4/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cvL2l1YbFWA/VbkO4K2BIKI/AAAAAAAHsmM/Y_a4IMzyDZQ/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IONXx8bgIdg/VbkO4Hv7d0I/AAAAAAAHsmQ/T7fVjNchbHo/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na uongozi wa SUMATRA, TRA, TABOA, RC-DSM na Waziri wa Fedha Ikulu kwa mazungumzo
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA ECG NA AL KAN KUTOKA MISRI, IKULU DAR.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Wafanyabiashara wa ECG na Al Kan kutoka nchini Misri, wakati walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 29, 2015 kwa mazungumzo. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara wa ECG AL...
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Rais Kikwete akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya Viettel Group Ikulu Dar
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Viettel Group ya nchini Vietnam Bwana Le Dang Dung ikulu jijini Dar es Salaam leo(picha na Freddy Maro).
Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Juni 30, 2014, amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka kampuni ya simu ya Viettel kutoka Vietnam ukiongozwa na Bwana Le Dang Dung ambaye ni Makamu wa Rais wa Kundi la makampuni ya Viettel...