Makamu wa Rais aongoza waombolezaji kifo cha kaka wa Waziri Membe
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya kuwasili nyumbani kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (Mb) kumpa pole kufuatia kifo cha kaka yake Waziri Membe, Bw. Simon Kamillius Membe aliyefariki dunia siku chache zilizopita huko nchini India.
Makamu wa Rais akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu, nyumbani kwa waziri Membe leo tarehe 06-10-2015.
Makamu wa Rais...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Pinda aongoza waombolezaji kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pole kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es salaam Aprili 22, 2014. Kushoto ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
aziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pile kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji...
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZOKUFUATIA KIFO CHA WAZIRI CELINA KOMBANI MIKOCHENI
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0g5w-O1aW1E/Vh-sf0XJb1I/AAAAAAAAbOU/PnmktKL0-r4/s72-c/1%2B%25283%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MABITI, DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-0g5w-O1aW1E/Vh-sf0XJb1I/AAAAAAAAbOU/PnmktKL0-r4/s640/1%2B%25283%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--vE2m46vsBk/Vh-sq3tHeNI/AAAAAAAAbOc/Kw5GwS38-yM/s640/2%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bfJYlnzAAJ0/Vh-sr9kJSYI/AAAAAAAAbOk/26LJcLHAroA/s640/2B.jpg)
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aongoza waombolezaji msiba wa Maalim Muhidin Gurumo, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, na baadhi ya waombolezaji wakati alipowasili nyumbani kwa marehemu Maalim Muhidin Gurumo, Mabibo jijini Dar es Salaam, kwa ajili kuaga mwili wa marehemu kabla ya kusafirishwa kuelekea Kijijini kwao Masaki Wilaya ya Kisarawe kwa maziko, leo, Aprili 15, 2014 . Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uKYwu38wIiY/VVCxKXEopVI/AAAAAAADmr4/uYqvnJlCJV0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-uKYwu38wIiY/VVCxKXEopVI/AAAAAAADmr4/uYqvnJlCJV0/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9EoA8oSPZK4/VVCxKNZirwI/AAAAAAADmr0/ow1Wgwy2LUs/s640/02...jpg)
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AONGOZA MAZISHI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA TUMISHI WA UMMA MAREHEMU CELINA KOMBANI LEO