MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI SHEREHE ZA MAKABIDHIANO YA URAIS NCHINI MALAWI
![](http://1.bp.blogspot.com/-VCRK5uT-5XA/U42Czt8NgOI/AAAAAAAFnWs/EHoFLy5gV0c/s72-c/unnamed+(65).jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimpongeza Rais mpya wa Malawi Prof. Arthur Peter Mutharika baada ya Rais huyo mpya wa Malawi kukabidhiwa madaraka jijini Brantyre kwenye hoteli Sunbird. Baada ya kukutana viongozi hao walipata fursa ya kuzungumzia masuala la kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili na kukubaliana kuendelea kuwa na mahusiano mema kama nchi zinazoishi ndugu na jirani. Picha kwa Hisani ya Ikulu ya Malawi
Makamu wa Rais wa Jamhuri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-whfL0W27Lic/U3DHOOlgEOI/AAAAAAAFhHE/sUmyKr5b76g/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU FROSSIE CHIYAONGA BALOZI WA MALAWI NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-whfL0W27Lic/U3DHOOlgEOI/AAAAAAAFhHE/sUmyKr5b76g/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PBHMRLQpLqg/U3DHOA5OtWI/AAAAAAAFhGM/xAYc2Qz-tyQ/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
Dewji Blog13 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa marehemu Flossie Chidyaonga Balozi wa Malawi nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Balozi Frossie Chiyaonga, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo Mei 12, 2014. Mwili huo unatarajia kusafirishwa kuelekea Malawi kwa maziko. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa...
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AHUDHULIA KATIKA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA MALAWI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHMb5_IdvdA/U7qZxG0YEqI/AAAAAAAFvgk/OO1af0rbSd4/s1600/05.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9tFk2XOqW0s/VOiS2vUWFmI/AAAAAAADZ_I/lWD86TtpXo0/s72-c/1..jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUZALIWA MWANZILISHI WA USKAUTI DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9tFk2XOqW0s/VOiS2vUWFmI/AAAAAAADZ_I/lWD86TtpXo0/s1600/1..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wIcs3F6RED8/VOiS2mOUexI/AAAAAAADZ_M/EyuVdBHWo0o/s1600/001.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Makamu wa Rais Mh.Samia Suluhu ashiriki msiba wa mjukuu Rais Dk. Magufuli!
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya msiba wa Mjukuu wa Mhe. Rais Dkt. John Magufuli, Maryfaustna Mlyambina, aliyefariki Nov 11, 2015. Shughuli za kuagwa mwili wa marehemu zilifanyika leo Nov 13, 2015 Kimara jijini Dar es Salaam, na baadaye msiba huo kusafirishwa kuelekea Mkoani Mwanza kwa maziko. Picha na OMR.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitoa heshima za...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s8NjmLI7QUU/VkXeIXXDELI/AAAAAAAIFuU/tle8iTWY3FA/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU ASHIRIKI MSIBA WA MJUKUU WA RAIS MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-s8NjmLI7QUU/VkXeIXXDELI/AAAAAAAIFuU/tle8iTWY3FA/s640/1B.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0GIBQtNE0HA/VkXeKNc582I/AAAAAAAIFuc/uD_g77BJtig/s640/2.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA MSUMBIJI
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki mazishi ya dada yake Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Kijijini Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokelewana Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete,wakati alipowasili kwenye msiba wa Dada yake na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, jana kijini Msoga Mkoa wa Pwani. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwafariji baadhi ya wanafamilia wa Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, aliyekuwa Dada yake na Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, kijijini...
11 years ago
MichuziMHE. MEMBE ASHIRIKI KATIKA SHEREHE ZA KUMUAPISHA RAIS WA MISRI