MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-v5kiagyl2xE/U34Q7u-v8rI/AAAAAAAFkho/56cKDK8HiP4/s72-c/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na watanzania waishio nchini Japan, wakati alipokutana nao kwa mazungumzo yaliyofanyika kwenye Hoteli ya The New Otani, wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi nchini humo, jana Mei 21, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Japan (Tanzanite Society) David Semiono, akisoma risala ya Jumuiya yao wakati wa hafla ya chakula cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 May
Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na Watanzania waishio nchini Japan, awaasa kurejea nyumbani kutumia ujuzi walioupata kukuza uchumi wa nchi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na watanzania waishio nchini Japan, wakati alipokutana nao kwa mazungumzo yaliyofanyika kwenye Hoteli ya The New Otani, wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi nchini humo, jana Mei 21, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona. (Picha na OMR).
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Japan (Tanzanite Society) David Semiono, akisoma risala ya Jumuiya yao wakati wa hafla...
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na mabalozi wa Oman na Syria nchini Tanzania Ikulu Dar leo
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Syria nchini Tanzania, Abdulmonem Annan, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 3, 2014 kwa mazungumzo. (Picha na OMR).
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Syria nchini Tanzania, Abdulmonem Annan, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 3, 2014 kwa mazungumzo.
11 years ago
Dewji Blog07 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na Viongozi wa CCM na wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo (W) Mufindi, Ikulu Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Viongozi wa CCM Wilaya na Mufindi wlioongazana na baadhi ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo, wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Mei7, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa CCM Wilaya ya Mufindi na baadhi ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo, waliofika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZWGUDGnHqGc/U3WbXAewOKI/AAAAAAAFiFM/z6HqjXiW74I/s72-c/Makamu+wa+Rais,+posters.001.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-InulJL1-gaw/U3onHVhHPCI/AAAAAAAFjq8/RTcbRT_DDwk/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AANZA ZIARA YA KIKAZI NCHINI JAPAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-InulJL1-gaw/U3onHVhHPCI/AAAAAAAFjq8/RTcbRT_DDwk/s1600/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oC2Sa2O_Egk/U3onHDNNLBI/AAAAAAAFjq4/9IKiWI6fE_Y/s1600/01.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jYAQhI2baa4/VPR94u6mZ7I/AAAAAAAHHJ8/dgcF_ZBurEI/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA JAPAN ALIYEMALIZA MUDA WAKE NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-jYAQhI2baa4/VPR94u6mZ7I/AAAAAAAHHJ8/dgcF_ZBurEI/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-k6ImNs7jGKM/VPR94gCZaKI/AAAAAAAHHKA/iJKDoDzSNeg/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAMU WA RAIS WA CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5m-J1xgXhfQ/VV2y4J3QVqI/AAAAAAAHYys/pZHTR_Y2wxU/s640/6.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10