Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MALINZI AITAKIA KILA LA KHERI TWIGA STARS

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF Jamal Malinzi, ameitakia kila la kheri timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars) katika mchezo wake wa kesho wa marudaino dhidi ya timu ya Taifa ya Zambia (She-Polopolo) utakaochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Akiongea na wachezaji wa Twiga Star na benchi la Ufundi katika chakula cha pamoja cha mchana leo katika hosteli za TFF zilizopo Karume, Rais Malinzi amesema watanzania wote wana matumaini na timu yao kufanya vizuri kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KILA LA KHERI YANGA - MALINZI

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini - TFF, Jamal Malinzi amewatakia kila la kheri Wawakilishi pekee wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CC) timuYoung Africans katika mchezo wake wa marudiano dhidi ya timu ya Etoile du Sahel utakaochezwa kesho nchini Tunisia.
Katika salamu zake Malinzi amesema ,Young Africans wakiwa ndio timu wawakilishi pekee wa Tanzania na Afrika Mashariki katika michuano ya kimataifa barani Afrika wanapaswa kupambana kuhakikisha wanasonga mbele...

 

9 years ago

Mtanzania

Malinzi asikitishwa matokeo Twiga Stars

malinziNA ELLY MHAGAMA, DAR ES SALAAM

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi, amesikitishwa na matokeo mabovu ambayo timu ya Twiga Stars inayapata katika michuano ya All African Games inayoendelea nchini Congo Brazzaville.

Malinzi alitoa kauli hiyo jana, akidai matokeo hayo mabovu yanatokana na kukosa ligi ya Taifa ya soka la wanawake, ambayo ingesaidia kuibua vipaji lukuki.

“Tunafungwa kwa sababu hakuna Ligi ya mchezo huu, tunatarajia kuanzisha Ligi ambayo tutazalisha wachezaji...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Kila la kheri Stars michuano ya Cosafa

>Leo, kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinaingia kwenye Uwanja wa Olympia Park, Rustenburg Afrika Kusini kupambana na Swaziland katika mashindano ya kuwania ubingwa wa Kombe la Cosafa ambayo yalifunguliwa jana.

 

9 years ago

Vijimambo

Kuiona Stars buku 7, Magufuli aitakia heri.


Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.

Wakati kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameomba Watanzania waruhusiwe kuingia bure uwanjani kuishangilia Taifa Stars dhidi ya Nigeria kesho, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vikubwa kwa ajili ya mechi hiyo ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017.

Wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu zilizofanyika Mbagala jijini Dar es Salaam Jumapili, Zitto...

 

10 years ago

Vijimambo

KILA LA KHERI YANGA


Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini - TFF, Jamal Malinzi amewatakia kila la kheri Wawakilishi pekee wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CC) timuYoung Africans katika mchezo wake wa marudiano dhidi ya timu ya Etoile du Sahel utakaochezwa kesho nchini Tunisia. 

Katika salamu zake Malinzi amesema ,Young Africans wakiwa ndio timu wawakilishi pekee wa Tanzania na Afrika Mashariki katika michuano ya kimataifa barani Afrika wanapaswa kupambana kuhakikisha wanasonga mbele...

 

10 years ago

Raia Mwema

Tunawatakia kila la kheri

WAGOMBEA watarajiwa wa nafasi mbalimbali za dola, na hasa ngazi ya urais wa Jamhuri ya Muungano w

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kila la kheri UKAWA

UMOJA wa Katiba ya Wananchi Nje ya Bunge (UKAWA), jana uliandika historia kwa kufanya kile kilichokuwa kinasubiriwa na Watanzania wengi kwa miaka mingi. Viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda UKAWA,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kila la kheri uchaguzi CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kinaendelea na uchaguzi wake mkuu wa ndani ili kupata safu mpya ya uongozi. Uchaguzi huo umeonesha wazi kwamba chama hicho sasa kimekuwa sana, kutokana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani