Mandela Kuzikwa Kimila,ng'ombe dume kumsindikiza kaburini
Ng’ombe dume (fahali) atachinjwa kisha kuwekwa katika kaburi atakamozikwa Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela, Kijiji cha Qunu, Mthatha Jimbo la Eastern Cape Jumapili hii.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania