Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kupambana na Islamic State

Marekani imetoa tamko kuchukua hatua stahiki dhidi ya kikundi cha wanamgambo wa dola ya kiislam huko Syria na Iraq.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jordan yaapa kupambana na Islamic State

Mfalme wa Jordan ameahidi mapambano yasiyo na huruma dhidi ya wapiganaji wa Islamic State kufuatia kuuawa kwa rubani wa nchi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Washukiwa 14 wa 'Islamic state' wakamatwa

Uhispania na Morocco zimewatia mbaroni watu 14 katika operesheni ya pamoja, iliyowalenga washukiwa wanaoandikishwa kujiunga na kundi la wanamgambo wa Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yaungana dhidi ya Islamic State

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la kuzidisha juhudi za kukabiliana na Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yashambulia Islamic State

Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria

 

10 years ago

BBC

How strong is Islamic State in Libya?

How powerful is Islamic State in Libya?

 

10 years ago

BBCSwahili

US:Wapiganaji wa Islamic state ni tisho

Marekani imeonya kuwa kundi la wapiganaji wa Islamic State( IS) ni hatari kwa usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State 'yadhibiti' Palmyra, Syria

Wanamgambo wa Islamic State wamechukuwa uthibiti wa karibu mji wote wa Palmyra, ulio na kivutuo kikubwa zaidi cha mahame ya kale.

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State watimuliwa kutoka Kobane

Wapiganaji wa Kikurdi Kaskazini mwa Syria wanaripotiwa kuwatimua wanamgambo wa kundi la Islamic State kutoka mji wa Kobane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbaroni kutaka kujiunga na Islamic State

Mahakama mjini New York imemfungulia mashitaka mfanyakazi wa zamani wa jeshi la anga kwa madai alitaka kujiunga Islamic State.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani