Marekani kupambana na Islamic State
Marekani imetoa tamko kuchukua hatua stahiki dhidi ya kikundi cha wanamgambo wa dola ya kiislam huko Syria na Iraq.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Jordan yaapa kupambana na Islamic State
Mfalme wa Jordan ameahidi mapambano yasiyo na huruma dhidi ya wapiganaji wa Islamic State kufuatia kuuawa kwa rubani wa nchi hiyo.
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Washukiwa 14 wa 'Islamic state' wakamatwa
Uhispania na Morocco zimewatia mbaroni watu 14 katika operesheni ya pamoja, iliyowalenga washukiwa wanaoandikishwa kujiunga na kundi la wanamgambo wa Islamic State.
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
UN yaungana dhidi ya Islamic State
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la kuzidisha juhudi za kukabiliana na Islamic State.
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Urusi yashambulia Islamic State
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80790000/jpg/_80790998_militants.jpg)
10 years ago
BBCSwahili22 Aug
US:Wapiganaji wa Islamic state ni tisho
Marekani imeonya kuwa kundi la wapiganaji wa Islamic State( IS) ni hatari kwa usalama
10 years ago
BBCSwahili21 May
Islamic State 'yadhibiti' Palmyra, Syria
Wanamgambo wa Islamic State wamechukuwa uthibiti wa karibu mji wote wa Palmyra, ulio na kivutuo kikubwa zaidi cha mahame ya kale.
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Islamic State watimuliwa kutoka Kobane
Wapiganaji wa Kikurdi Kaskazini mwa Syria wanaripotiwa kuwatimua wanamgambo wa kundi la Islamic State kutoka mji wa Kobane.
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Mbaroni kutaka kujiunga na Islamic State
Mahakama mjini New York imemfungulia mashitaka mfanyakazi wa zamani wa jeshi la anga kwa madai alitaka kujiunga Islamic State.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania