MASTAA BONGO MUVI NJAA TUPU!
![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvvialYHuHUm3XMVQVFtEKYwIQkch9PykxN9L2KFFsgQgCLnbpmWg8OXn*3BJhjCjtYYcVR*j1N4wVu0RJLAVCHb/BongoMovie_1.jpg?width=650)
Waandishi wetu Imevuja! Uchunguzi uliofanywa na Ijumaa Wikienda umebaini kwamba mastaa wengi wa sinema za Kibongo wapo katika hali ngumu kiuchumi kutokana na soko la filamu kudorora huku wizi wa kazi zao na kusitishwa mikataba yao na makampuni makubwa ya usambazaji vikichangia. Uchunguzi huo umebaini kwamba moja ya makampuni yaliyositisha mikataba ya wasanii ni Steps Entertainment ambao wamesababisha mastaa kibao kushindwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Mastaa Bongo Movie Njaa Tupu!
Uchunguzi uliofanywa na Ijumaa Wikienda umebaini kwamba mastaa wengi wa sinema za Kibongo wapo katika hali ngumu kiuchumi kutokana na soko la filamu kudorora huku wizi wa kazi zao na kusitishwa mikataba yao na makampuni makubwa ya usambazaji vikichangia.
Uchunguzi huo umebaini kwamba moja ya makampuni yaliyositisha mikataba ya wasanii ni Steps Entertainment ambao wamesababisha mastaa kibao kushindwa kutengeneza muvi kwa kuwa awali walikuwa wakipewa bajeti na Steps kisha kuwauzia kwa bei ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqwsbZOC0lv5wwEkdbgnLL*QVVtcHFQfEIhZRYQJGFEV2bQVY5O1zXBtWP7p-P8NrKnVoewDvkty074dIxR2owp/mastAA.jpg?width=650)
MASTAA WAJIENGUA BONGO MUVI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb7Wf6XVza6Lbi*kQvSuqr4kwcM89k1QSS53RjeCpuoeGrLAfOUahtHl0YeGWM4XlN9k3Qivl8--Y8OuCfW7RCKB/1RIYAMAALLYNAWASTARAJUMA.jpg)
MASTAA BONGO MUVI WATEMBELEA BBC, UINGEREZA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsp5TAwzI3xtgpvsWtOqwsJUy2G9824cjD8Ivq*iazDxdqLE-2Xfqe4EBKCAV7Z2ycy7iUR2LOJsUrQx7rSda1vV/mirror1.jpg?width=650)
MIRROR, MASTAA BONGO MUVI WACHENGUA CLUB 71 TEGETA
10 years ago
Bongo509 Feb
PAPASO: Florah Mvungi adai Bongo Movie hawapendani na AT asema Bongo Fleva imejaa majungu tupu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CryjK-64QhIRy*tVEl34royUM3POwz3BmiOcJl69vU8*g9Z-ymqABsU7BBzYVsinrc5ALu42AOtC5dUuI102Cur/steven.jpg)
MASTAA WA MUVI WAZICHAPA WAKIDAIWA...
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Mastaa: Magufuli Ametuua kwa Njaa
![Baby Madaha](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/madaha-1024x1024.jpg)
Baby Madaha
Jambo limezua jambo! Kufuatia tumbuatumbua inayoendeshwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa vigogo waliokuwa wanawapa jeuri mastaa wa kike mjini, wenyewe wameibuka na kusema kiongozi huyo ‘amewaua’ kwa njaa.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa mastaa wengi wa kike wanalalamika njaa na ndiyo maana tangu alipoingia madarakani Rais Magufuli na kuanza kuwaondoa mafisadi, wasanii hao wamekuwa hawaonekani viwanja kama zamani kwa sababu hawana mkwanja.
“Yaani wasanii wa kike...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)
Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.