MATATIZO KATIKA MATITI
![](http://api.ning.com:80/files/JF-pWsE9wxebe4xfaw1FSk4fnMLvduB6ll1AQlTOm4Ja026Cdim4CDBNVZYk8QE-K1KzqITcmC-a-qJLvjAsmgna8Cs1chmU/pic_matiti.jpg?width=650)
Matatizo ya matiti huwasumbua wanawake wengi na hata wanaume. Matatizo haya yapo ya aina nyingi, mfano uvimbe wa matiti, maumivu ya matiti au matiti kutoa maziwa au majimaji au damu. Tatizo hili hutokea katika umri wote kuanzia pale mwanamke anapovunja ungo hadi anapofikia ukomo wa hedhi. Matatizo ya matiti katika umri mkubwa kuanzia miaka 35 mara nyingi huambatana na saratani ya matiti. Jinsi tatizo linavyotokea Uvimbe wa matiti...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSrJLElpAtfZWtbW5brcDn2jBhRx0h6UDWnBP5ws4Zga3Uds7wqDCASkw2tNyQZmC553mt-IKdz*6uPv2pM6La9q/painsex1.jpg?width=650)
MATATIZO KATIKA TENDO LA NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cqcnkRA3V9thpE7Qfrisa0ikqtVn1urSu*x3ISQg7sAZ9GORsvMl2Cr05xO-yxJL3SewEWtAUg*3N*uAQyCs4rr/4.jpg)
MATATIZO KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA
10 years ago
GPLMATATIZO KATIKA KORODANI ZA MWANAUME (TESTICULAR FAILURE)
10 years ago
MichuziMBUNGE WA KINONDONI AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKIANA KATIKA MATATIZO
Mh.Azzan aliyasema hayo jana wakati alipowatembelea wananchi wake waliopata mafuriko pamoja na wale ambao nyumba zao zimezingirwa na maji,amesema kuwa sasa ni wakati wa watu kusaidia wenzao waliopata na maafa.
Amesema kuwa ametoa mpira wa kutolea maji kutokana na kuepusha na magonjwa ya mlipuko yatakayotokana na maji yaliyojaa katika mitaa iwamo Kipindupindu na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7MlRbWXkeOlXDuksYoj2R7UcDXb7Ld0FQn9i8gKtoC3Z4A0K46xz1DsKBtwcOTalJj4skuAQZNcmObkhRTJETXD/crohnsdisease.gif?width=650)
MATATIZO KATIKA MFUMO WA CHAKULA (GASTRO INTESTINAL DISORDERS)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*6XyHsPwyZTjqbgI5PtLyqUluzXUJDzuaIAtW-*jk3qv7QGa0KDkIDm4gyXQ4xHTETbSG31tqYNfd5dptOpt9h/www.usnews.com.jpg?width=650)
MATATIZO KATIKA UZALISHAJI WA MBEGU ZA KIUME (LOW SPERM COUNT)
10 years ago
MichuziHitilafu ya umeme katika uwanja wa mwanza imetokana na matatizo ya generator ya dhalula - TAA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja Ndege nchini (TAA) Bw Suleiman Suleiman ametoa ufafanuzi kuhusu hitilafu ya umeme iliyotokea katika uwanja wa ndege wa Mwanza kuwa imetokana na marekebisho ya kangavuke (generator) ya dhalula katika uwanja huo.
Bw. Suleiman ameeleza hayo leo jijini Dar es Salaam katika mahojiano maalum na mwandishi wa habari hii na kuongeza kuwa kila kiwanja cha ndege nchini kina generator ya dhalula.
“Viwanja vyote vya ndege nchini vina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2ye0vJp*I4tX18bQBsChUhARDWjCqg-UI4znpGJnC4zDDbqimj0MqJfb4V*RVAP0a*rhGdrVA2DQGrbUpjyXes/breastcancerillustrations.jpg?width=650)
TIBA YA SARATANI YA MATITI - 5