Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matukio kwenye Bunge la Bajeti mjini Dodoma

PG4A8405

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta  na Mbunge wa Urambo na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta, bungeni mjini Dodoma May 8, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A8431

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, bungeni mjini Dodoma May 8, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A8400

Mbunge wa Viti Maalum Pauline Gekul akiwa Bungeni.

PG4A8520

Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongozwa na mpambe wa Bunge kutoka ukumbini May 8, 2014. (Picha na Ofisi ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma linakoendelea Bunge la Bajeti

PG4A9866

Waziri wa Ujenzi, Mh. John Magufuli  akisoma bajeti ya Wizara  hiyo bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9913

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na wabunge kutoka bunge la Uganda , Ssentongo Theopista Nabulya (kushoto) na Dr. Chris Baryomunsi, ofisini kwake bungeni mjini Dodoma  Mei  21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9928

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,  Uratibu  na Bunge, William Lukuvi akisalimiana na ujumbe wa wabunge kutoka  Bunge la...

 

11 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali Waziri Mkuu Pinda kutoka Bunge mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba

PG4A9843

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Peter Serukamba  (kushoto) na Abdulkarim Shah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9873

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Abdulkarim Shah (kushoto) na Ayman Jafari kutoka kikundi cha Tulee Yatima Tanzania cha Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9890

Wajumbe wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kutoka Bungeni mjini Dodoma linakoendelea Bunge la Bajeti

PG4A9309

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa  Nkasi Kaskazini, Ally Keissy Mohamed, bungeni mjini Dodoma Mai 15, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9316

Mbunge wa Viti Maalum, Mchungaji Dr. Getrude Rwakatare  (kulia) akizungumza na  Mbunge wa Ileje, Aliko Kibona, bungeni mjini Dodoma.

PG4A9343

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiteta na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia bungeni mjini Dodoma.

PG4A9392

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani