MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-1uuLHYtA2B8/VNDvgJNrvWI/AAAAAAACzS8/hhrc1jAesQg/s72-c/2.jpg)
Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhandishi Athumani Mfutakamba akisoma taarifa ya kamati hiyo kwa niaba ya mwenyekiti wa kamati hiyo bungeni mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, Jasson Rweikiza akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge yaMasuala ya Ukimwi Lediana Mng'ong'o akiwasilisha taarifa ya kamati yake.
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiuliza swali wakati wa kipindi cha maswali na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Nov
Matukio katika picha kutoka Bungeni mjini Dodoma leo
10 years ago
Dewji Blog29 Jan
Matukio mbalimbali ya picha kutoka Bungeni mjini Dodoma
![PG4A9034](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/PG4A9034.jpg)
![PG4A9084](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/PG4A9084.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Matukio mbalimbali kutoka bungeni mjini Dodoma leo
Mbunge wa Mwibara Kange Lugola akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Mwanza...
10 years ago
MichuziMATUKIO KATIKA PICHA KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Matukio mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na madiwani kutoka jimbo la Mkuranga kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 24, 2014. Madiwani hao walikwenda Bungeni kwa mwaliko wa Mbunge wao, Adam Malima ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema, Bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Mtwara Mjini Hasnan Murji,bungeni mjini Dodoma Juni 25, 2014. (Picha...
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Matukio Ya Bungeni Mjini Dodoma Leo
![](https://2.bp.blogspot.com/-F3FZYR6Kdck/V9qYv9TajnI/AAAAAAAJBQk/E7V2z8FBEakq6N62t2ddj8BlhweZfIm-QCLcB/s640/1.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-VjGO7JwyPX4/V9qYvX6YLyI/AAAAAAAJBQc/-HPbugl84Co0hkfzGpMJSBMa-QRNeooXACLcB/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda kutoka Bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa kauli kuhusu mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto , Bungeni mjini Dodoma Novembe 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu,...
11 years ago
Dewji Blog21 May
Matukio mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma linakoendelea Bunge la Bajeti
Waziri wa Ujenzi, Mh. John Magufuli akisoma bajeti ya Wizara hiyo bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge kutoka bunge la Uganda , Ssentongo Theopista Nabulya (kushoto) na Dr. Chris Baryomunsi, ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi akisalimiana na ujumbe wa wabunge kutoka Bunge la...
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Matukio ya picha kutoka Bungeni leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Februari, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaimaa John Kwegyir, kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na wananchi kutoka wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe walitembelea Bunge mjini Dodoma...