Matumla, Mchina Xin Hua kudundana leo
THERESIA GASPER NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
MABONDIA Mohamed Matumla na Wang Xin Hua wametambiana vikali, huku kila mmoja akijinadi kuibuka mshindi katika pambano la kuwania mkanda wa dunia WBF wa uzani wa Super Bantam Kg 55-57, litakalofanyika leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
Mabondia hao wametambiana walipokuwa wakipima uzito katika ukumbi wa Maelezo jana, ambapo wote wamekutwa na uzito sawa wa Kg.56.4.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, bondia kutoka China,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jl-_FweVJ0Y/VRaRrRgHzmI/AAAAAAAAq4w/kSMGx1c0mk4/s72-c/MMGL1834.jpg)
Bondia Mohamed Matumla Ashinda Pambano la Ngumi Dhidi ya Mchina Wang Xin Hua Jana
![](http://1.bp.blogspot.com/-jl-_FweVJ0Y/VRaRrRgHzmI/AAAAAAAAq4w/kSMGx1c0mk4/s640/MMGL1834.jpg)
Bondia Mohamed Matumla amemchapa mpinzani wake raia wa China, Wang Xin Hua kwa pointi. Matumla ameshinda pambano hilo la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF la raundi 12 uzani wa Bantam lililopigwa katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam na sasa baada ya kushinda atapata nafasi ya kupanda ulingoni Jijini Las Vegas kwenye pamambano la Mayweather na Pacquiao na bondia atakae pangiwa katika mapamabo ya utangulizi siku hiyo ya May 2.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yxJqf0gmiGM/VRJ8I0GhFTI/AAAAAAAHNDg/8uqgZQ6ICok/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Bondia wa zamani Francois Botha azungumzia mpambano kati ya Mohamed Matumla na Mchina Wang Xin Hua
![](http://3.bp.blogspot.com/-yxJqf0gmiGM/VRJ8I0GhFTI/AAAAAAAHNDg/8uqgZQ6ICok/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_SXpdnyaI4/VRJ8KMOxiiI/AAAAAAAHNDo/6uBALhp_SHA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Matumla kuvaana na Wang Xin Hua
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sJLx6kt8kQ8/VQrm15W_U9I/AAAAAAAHLgo/WUWdgUSI2v8/s72-c/540px-Boxing_OP_(3)-page-001.png)
Kuelekea Mpambano Ndondi kati ya Mohamed Matumla na Wang Xin Hua wa China
![](http://2.bp.blogspot.com/-sJLx6kt8kQ8/VQrm15W_U9I/AAAAAAAHLgo/WUWdgUSI2v8/s1600/540px-Boxing_OP_(3)-page-001.png)
Wakati bondia Mohamed Matumla Jr akiwa katika mazoezi ya mwisho mwisho kumkabili Wang Xin Hua wa China, wenzake Thomas Mashali na Karama Nyilawila wametoleana uvivu huku kila mmoja akijigamba kutwaa ubingwa watakapozichapa Machi 27 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Matumla Jr atazichapa na Hua pambano la super bantam la ubingwa wa dunia wa (WBF World Eliminate) pambano maalumu kwa mabondia hao la kutafuta tiketi ya kucheza pambano la utangulizi kwenye lile...
10 years ago
Vijimambo24 Mar
BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA AWASILI KUMKABILI MUDY MATUMLA IJUMAA
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Matumla Jr ‘amtandika vibayaa’ bondia wa China Wang Xin Hua, aenda kupigana Marekani
Mohamed Matumla Junior akimtupia makonde Mchina Wang Xiu Hua.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Bondia anayetoka kwenye familia yenye kusifika kwenye mchezo huo wa ngumi hapa Nchini Mohamed Matumla Junior usiku wa kuamkia leo Machi 28, ameweza kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika mchezo huo baada ya kumshinda bondia mwenzake kutoka China, Wang Xiu Hua katika pambano la kuwania ubingwa wa Super Bantam wa WBF Eliminator. Mchezo uliochezwa Ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es...
10 years ago
Michuziatakaye bashiri pambano la Mohamed Matumla na Wang Xin Hua wa China kujishindia fedha
Pambano hilo la raundi 12 la uzani wa Bantam limepangwa kufanyika Machi 27 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa pia na bingwa wa zamani wa dunia wa uzani wa juu, Francois Botha ambaye atakuwa mgeni rasmi.
Promota wa pambano hilo, Jay Msangi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s72-c/DSCF6974.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s1600/DSCF6974.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Mpambano mkali wa ngumi: Matumla Jr vs Wang Xiu Hua leo usiku Diamond Jubilee
Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi ‘Jiwe Gumu’ (katikati) akiwainua mikono juu Wang Xin Hua kutoka China ‘kushoto’ na Mohamedi Matumla baada ya kupima uzito jana.
..Modewji blog itakuletea kila kinachojiri huko kwenye pambano hilo la kihistoria
Ule mpambano wa ngumi wa kukata na shoka unaosubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wa Ngumi nchini ambao utakao wakutanisha bondia anayetoka kwenye familia ya mchezo huo wa ngumi Nchini, Bondia Mohamed Matumla Junior akitarajiwa kupanda...