Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi.... Sehemu ya mwisho
![](http://3.bp.blogspot.com/-luiLj-qzSgc/VOqaUlV90WI/AAAAAAAAH7Y/QShxSAg-w78/s72-c/Mhe.%2BNyalali%2Bna%2BBandio.jpg)
Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi
Tumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaisha
Na katika sehemu hii ya nne na ya mwisho ya mazungumzo yetu, Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea
1:Tukio la ugaidi la Septemba 11, 2001 - walivyopata taarifa (kama wanadiplomasia), na kilichofuata
2: Jukumu la kukuza mwanya wa biashara kati ya Marekani na Afrika, ambalo lilisababisha...
Vijimambo