Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi....Sehemu ya mwisho
![](http://3.bp.blogspot.com/-luiLj-qzSgc/VOqaUlV90WI/AAAAAAAAH7Y/QShxSAg-w78/s72-c/Mhe.%2BNyalali%2Bna%2BBandio.jpg)
Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULETumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyiTumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaishaNa katika sehemu hii ya nne na ya mwisho ya mazungumzo yetu, Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea1:Tukio la ugaidi la Septemba 11, 2001 - walivyopata taarifa (kama wanadiplomasia), na kilichofuata2: Jukumu la kukuza mwanya wa biashara kati ya Marekani na Afrika, ambalo lilisababisha...
Michuzi