MCHUNGAJI MBARONI KISA, RAMBIRAMBI ZA ASKOFU KULOLA
![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm9-5CWM9nsRnXS5Op*o4t3U6ZmRrj5ZmV5kXZsvRnwCKWaFT-q5blhR0d1BEfuRZIALYrBQULGV35TP*Vs-A7Vd/photo.jpg?width=650)
Mchungaji wa Kanisa la Evangelist Assemblies Of God City Centre jijini hapa, Michael Kulola. Stori: Mashaka Baltazar, Mwanza MH! Mchungaji wa Kanisa la Evangelist Assemblies Of God City Centre jijini hapa, Michael Kulola ametiwa mbaroni kisha kufikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Mwanza kisa wizi wa fedha za rambirambi za Askofu Moses Kulola kiasi cha Sh. milioni 33. Picha ya marehemu Askofu… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Vita ya Mchungaji na Askofu ndani ya Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mchungaji Anglikana mbaroni tuhuma za mauaji
MCHUNGAJI mstaafu wa Kanisa la Anglikana, Usharika wa Mfarasi kata ya Madilu wilayani Ludewa, mkoani Njombe, Petro Chambachamba (87) anashikiliwa Polisi akihusishwa kwenye kesi ya mauaji. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Njombe, Fulgence Ngonyani, amesema jana kuwa Chambachamba pamoja na watu wengine wanane, wamekamatwa wakihusishwa na mauaji yaliyotokea Februari 25, mwaka huu saa 8 mchana katika kijiji cha Mfarasi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sl485ffxMkw/VhLrp67HWKI/AAAAAAAH9PE/HUtNrMbZiSY/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Baraza la Vyama vya Siasa nchini latuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mchungaji Mtikila
![](http://2.bp.blogspot.com/-sl485ffxMkw/VhLrp67HWKI/AAAAAAAH9PE/HUtNrMbZiSY/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Vita ya Mchungaji na Askofu ndani ya Bunge Maalumu la Katiba
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mEbZaeiJbfU/Xp1yGICDVTI/AAAAAAAEGxw/JI_QDRZq5ZAGiksfNsSvQuMq4XMmigg4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0934bd00-b6ba-42c7-94a6-75d819d48a61.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cm3KPQlwFgg/Vnb6WIQoZkI/AAAAAAADD8U/BA1aIqqyxcQ/s72-c/Adam_na_Hawa%2Btanzania.jpg)
Rais Magufuli atuma salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Askofu Nkalanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cm3KPQlwFgg/Vnb6WIQoZkI/AAAAAAADD8U/BA1aIqqyxcQ/s1600/Adam_na_Hawa%2Btanzania.jpg)
Simu: 255-22-2114512, 2116898E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa kufuatia kifo cha Askofu Mstaafu Plasdus Gervas Nkalanga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mEbZaeiJbfU/Xp1yGICDVTI/AAAAAAAEGxw/JI_QDRZq5ZAGiksfNsSvQuMq4XMmigg4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0934bd00-b6ba-42c7-94a6-75d819d48a61.jpg)
9 years ago
MichuziMCHUNGAJI CHARLES GADI ASIMIKWA RASMI KUWA ASKOFU MKUU WA MAKANISA YOTE YA GOOD NEWS FOR ALL NCHINI TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LfPjCd5M218/Vf6R70A6MtI/AAAAAAAH6PU/cK4YaPQ9QxE/s72-c/20150920_090324.jpg)
Mbaraka wa Askofu Mteule Mchungaji Kenan Salim Panja, Kanisa La Moravian Jimbo la Kusini mjini Tukuyu Leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-LfPjCd5M218/Vf6R70A6MtI/AAAAAAAH6PU/cK4YaPQ9QxE/s640/20150920_090324.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lC1tY4_0F-o/Vf6SmebWLII/AAAAAAAH6Pc/Fk5kR8OssfQ/s640/20150920_084121.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GjpNfyecck8/Vf6Q9e9DHiI/AAAAAAAH6PI/WjCo9czJucU/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Picha na Mpeli Nsekela