Mgonjwa 'feki' akamatwa Uingereza
Alan Knighty alijidai kuwa mgonjwa mahututi ingawa alikamatwa na madaktari akiwa
Mkewe Knight ndiye alikuwa msaidizi wake katika sakata hii akimhudumia wakati wote
Hapa Knight alinaswa kwa kamera ya CCTV na polisi akiwa madukani
Mwanamume mmoja ameshtakiwa kwa kosa la kutumia udanganyifu na kujidai kuwa mgonjwa mahututi kwa miaka miwili nchini Uingereza ili kukwepa mkono wa sheria.
Mwanamume huyo kwa jina Alan Knight, mwenye umri wa miaka 47, kutoka mtaa wa Swansea,aliamua kujidai kuwa mgonjwa...
Vijimambo