Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka 2 nje kwa Chennai na Rajasthan Royals

Vilabu viwili vikubwa vinavyoshiriki ligi ya kriketi nchini India vimepigwa marufuku ya miaka 2 baada ya kupatikana na hatia ya kupanga mechi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji jela miaka minne kwa kuuza watu nje

Mchungaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jean Bamana amehukumiwa kwenda jela miaka minne baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh10 milioni kwa kosa la kujihusisha na biashara ya kusafirisha binadamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chennai: Maelfu waathiriwa na mafuriko

Operesheni kubwa ya kuokoa watu waliokwama kutokana na mafuriko eneo la Chennai, jimbo la Tamil Nadu kusini mwa India inaendelea.

 

11 years ago

Times Of India

Tanzanian national dies at Chennai airport


Tanzanian national dies at Chennai airport
Times of India
CHENNAI: A Tanzanian national, who arrived in Chennai on Thursday morning for treatment at a private hospital in the city, suffered a cardiac arrest and died at the Anna International Airport. Police said Elfalah Khamis Nassor, 60, arrived in Chennai on an ...
2 Lankans held at Chennai airport for bid to smuggle goldBusiness Standard
Tanzanian Who Flew to Chennai for Heart Treatment, Dies at AirportThe New Indian Express

all 3

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miaka 50 ya Muungano, kwanini viongozi watibiwe nje ya nchi?

KWA muda mrefu kumekuwa na kilio cha wabunge na wananchi wa kawaida kupinga tabia na utamaduni wa tangu enzi wa kuwapeleka viongozi wetu kwenda kupata matibabu nje ya nchi badala...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NJE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 45 YA TAIFA LA OMAN

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akitoa hotuba wakati wa Maadhimisho ya miaka 45 ya Taifa la Oman yaliyoandaliwa na Ubalozi wa Oman hapa nchini na kufanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency (Kilimanjaro) tarehe 24 Novemba, 2015. Maadhimisho hayo yalihudhuriwa na wageni waalikwa mbalimbali akiwemo Rais Mstaafu, Mhe. Ali Hassan Mwinyi na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Salim Ahmed Salim. Katika hotuba yake Balozi Yahya alisifu uhusiano wa...

 

11 years ago

Business Standard

2 Lankans held at Chennai airport for bid to smuggle gold


2 Lankans held at Chennai airport for bid to smuggle gold
Business Standard
Two Sri Lankan nationals were arrested at the airport here today for allegedly trying to smuggle gold worth Rs 19 lakh. Customs officials detained them at the airport here on their arrival from Colombo after they were found carrying 294 gm and 296 gm of gold, ...
Tanzanian Who Flew to Chennai for Heart Treatment, Dies at AirportThe New Indian Express

all 2

 

10 years ago

NYOOOZ

Tanzanian Man Dies of Cardiac Arrest at Chennai International Airport ...


Tanzanian Man Dies of Cardiac Arrest at Chennai International Airport ...
NYOOOZ
CHENNAI: A Tanzanian national died of suspected cardiac arrest just after the aircraft landed here from Muscat today, airport authorities said. Njau Mbazi (51) had come here from Muscat for medical treatment at a top private hospital here. After the ...

 

11 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA TATHMINI YA MIAKA 13 YA UTEKELEZAJI WA SERA MPYA YA MAMBO YA NJE LAFANYIKA DAR ES SALAAM

 Waziri wa Ardhi na Makazi Profesa Anna Tibaijuka akitoa mchango wake katika Mada ya Ushirikiano wa Vijana katika vyama vya Siasa Kimataifa wakati wa Kongamano la Tathmini ya Miaka 13 ya Utekelezaji wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje -Diplomasia ya Uchumi , Mafanikio na Changamoto lililofanyika kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam,Julai 5.2014. Mwakilishi wa Mgeni Mualikwa Balozi Joseph Sokoine akizungumza na Vijana waliohudhuria Kongamano la Tathmini ya Miaka 13 ya Utekelezaji wa Sera...

 

9 years ago

Michuzi

HOSPITALI ZA APOLLO MSTARI WA MBELE KUOKOA MAISHA YA WAHANGA WA MAFURIKO MJINI CHENNAI

Preetha Reddy, Makamu Mwenyekiti wa Hospitali za Apollo,
Na Mwandishi Wetu,CHENNAI ni jiji la tano kwa ukubwa nchini India, jiji hilo limepigwa na janga kubwa la mafuriko ambayo hayajawahi kutokea kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, mafuriko hayo yameliacha jiji hilo likiwa hoi na taabani. 
Mafuriko hayo ya kihistoria yalisababisha jiji hilo kukosa huduma muhimu kama umeme, maji safi, chakula, usafiri na mahitaji mengine ya msingi. Idadi ya wagonjwa wengi wameripotiwa kufariki baada ya maji ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani