'Mikopo si sadaka'
WANACHAMA wa vyama vya kuweka na kukopa (Saccos), wameonywa kutochukulia mikopo wanayoomba na kupewa kama sadaka kwao. Akizunguza na wanachama wa Kilolo Teachers Saccos hivi karibuni, Ofisa Ushirika wa Mkoa wa Iringa, John Kiteve alisema uaminifu ni uhai wa vyama hivyo.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania