Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mipaka ya majimbo itavuruga uchaguzi wa Zanzibar

Kazi ya kukagua mipaka ya majimbo inayofanywa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (Zec), imepandisha joto la Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha akito taarifa kwa vyombo vya Habari juu ya majimbo ya uchaguzi ya Zanzibar. Kuona majimbo yote ya uchaguzi zanzibar, BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

Mipaka mipya ya majimbo yapingwa

Chama cha NCCR Mageuzi Zanzibar kimetangaza mpango wa kufungua kesi Mahakama Kuu kupinga kazi ya kurekebisha mipaka ya majimbo inayofanywa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

9 years ago

Vijimambo

Walioteuliwa na kamati kuu ya ACT kugombea Ubunge kwa Zanzibar MAJIMBO YA TANZANIA ZANZIBAR


1KondeNdugu Masoud Suleiman Bakari2MicheweniNdugu Juma Hamad Juma3TumbeNdugu Hamad Shehe Tahir4WingwiNdugu Mbaruok Ali Khamis5GandoNdugu Suleiman Ali Hassan6KojaniNdugu Ali Makame Issa7MtambweNdugu Salim Sheha Salim8MgogoniNdugu Husna Salim Omar9WeteNdugu Hassan Abdalla Omar10ChakeNdugu Asha Bakari Mohd11ChongaNdugu Ridhiwan Khamis Nasib12OleNdugu Ali Salum Humud13WawiNdugu Jabir Maalim Jabir14ZiwaniNdugu Said Ali Said15ChambaniNdugu Sharif Bakar Othman16KiwaniNdugu Jaffar Juma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani