Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKONO WA EID MUBARAKA KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya Muziki wa dansi Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani, inawapa mkono wa Eid El Hajj wadau na wapenzi wote wa Ngoma Africa band popote walipo.Ngoma Africa Band inawatakia siku kuu njema ya Eid tusherehekee sote kwa Amani na Upendo.Pia usikose kupata burudani kamili ya muziki at  www.ngoma-africa.comjiunge nao at www.facebook.com/ngomaafricaband

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MKONO WA EID AL HAJJ KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU

Bendi maarufu ya muziki wa dasni barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuniyenye makao kule Ujerumani inawatakia wadau wote mkono wa Eid el Hajj,bendi hiyo inawatakia kila la heri na baraka katika kusherekea siku hii ya Eid Al Hajj ,sikuu hii iwe ya amani,upendo na furaha. Ngoma Africa band inawapa mkono wa Eid Mubaraka.usikote kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband

 

9 years ago

Michuzi

MKONO WA EID MUBARAK KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU UGHAIBUNI

Bendi maarufu ya muziki wa dasni barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuniyenye makao kule Ujerumani inawatakia wadau wote mkono wa Eid el Hajj.Bendi hiyo inawatakia kila la heri na baraka katika kusherekea siku hii ya Eid Al Hajj, na kusema sikuu hii iwe ya amani, upendo na furaha. Ngoma Africa band inawapa mkono wa Eid Mubaraka.
usikose kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband

 

11 years ago

GPL

SALAM ZA MEI MOSI KUTOKA NGOMA AFRICA BAND‏

BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya "Ngoma Africa Band" a.k.a FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule Ujerumani inatoa salamu maalum za Siku ya Wafanyakazi Duniani "MEI MOSI" a.k.a May Day. Ngoma Africa Band itawatakia kila la heri wadau wote duniani katika kusherehekea Sikukuu ya Mei Mosi hapo kesho!

 

10 years ago

Vijimambo

HERI YA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

HERI YA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBARKUTOKA NGOMA AFRICA BAND Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Bandaka FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchi ujerumani,inawatakia kilaheri na fanaka wadau wote katika kuadhimisha miaka 51 ya mapinduziya Zanzibar,mapinduzi yaliyofanyika 12 Januari 1964 ambayo yaliwakomboa wanzibar walio wengi kutoka katika makucha ya Sultan,Mapinduzi yaliyomng'oa Sultan hadi kusahau kiremba kitandani.Tunawapongeza wanzabar katika kuadhimisho ya miaka...

 

10 years ago

Vijimambo

HERI YA MWAKA MPYA 2015 KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni aka "watoto wa mbwa" au viumbe wa ajabu "Anunaki anunnaki aliens" yenye makao nchini Ujerumani,inatoa Salam za heri ya mwaka mpya 2015 kwa wadau wote popote palemlipo,mwaka mpya 2015 uwe wa mafanikio ,Amani na Upendo kwa wote.HAPPY NEW YEAR 2015 ! HAPPY NEW YEAR 2015 ! msikose burudani kamili bofya www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com

 

10 years ago

Michuzi

SALAM ZA MWAKA MPYA 2015 KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band a.k.a FFU-Ughaibuni a.k.a "watoto wa mbwa" au viumbe wa ajabu "Anunaki anunnaki aliens" yenye makao yake nchini Ujerumani, inatoa Salam za heri ya mwaka mpya 2015 kwa wadau wote popote pale mlipo,mwaka mpya 2015 uwe wa mafanikio ,Amani na Upendo kwa wote. HAPPY NEW YEAR 2015 ! HAPPY NEW YEAR 2015 !  msikose burudani kamili bofya www.ngoma-africa.com.moja ya show za Ngoma Africa band nchini Ujerumani.

 

11 years ago

Michuzi

SALAM ZA HERI YA MIAKA 50 YA MUUNGANO KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bend maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "NGOMA AFRICA BAND" aka FFU Ughaibuni,yenye makao yake kule nchini Ujerumani,inaungana na watanzania wote nyumbani na ughaibuni katika kusherehekea "MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA",Ngoma Africa band inatoa salam za heri na shangwe kwa watanzania wote popote duniani.
ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR = TANZANIA
                                UDUMU UMOJA WA KITAIFA
                                UDUMU...

 

11 years ago

GPL

SALAMU ZA HERI YA MIAKA 50 YA MUUNGANO KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, NGOMA  AFRICA a.k.a FFU Ughaibuni, yenye makao yake nchini Ujerumani, inaungana na Watanzania wote nyumbani na ughaibuni katika kusherehekea MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA. Ngoma Africa Band inatoa salamu za heri na shangwe kwa Watanzania wote popote duniani. ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR =...

 

11 years ago

Michuzi

SALAM ZA HERI YA "MEI MOSI" KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band" aka FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule ujerumani inatoa salam maarumu za siku ya wafanyakazi duniani "MEI MOSI" aka May Day, Ngoma Africa band itawatakia kila la heri wadau wote duniani kwa kusherehekea sikukuu ya Mei Mosi
Tafadhali pata burudani ya muziki at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
www.facebook.com/ngomaafricaband

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani