'Mtoto wa boksi' bado apumulia mashine
MTOTO wa miaka minne aliyekuwa amefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, bado anaendelea kutumia mashine ya kupumua baada ya kushindwa kupumua vizuri. Hali hiyo imesababishwa na maradhi ya kichomi yanayomsumbua.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania