Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mugabe ataibadili SADC?

AGOSTI 18 mwaka huu,  kwenye  kilele cha mkutano wa  34  wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika nchini Zimbabwe, ulimchagua Rais Robert Mugabe (90) kuwa mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo  kwa kipindi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

President Mugabe satisfied with Sadc Summit preps

President Mugabe welcomes Sadc executive secretary Dr Stergomena Lawrence Tax and director of Policy Planning and Resource Mobilisation Dr Angelo Eduardo Mondlane at State House in Harare yesterday. — (Picture by Tawanda Mudimu)
Farirai Machivenyika Senior Reporter
ELEVEN Sadc Heads of State and Government have confirmed their attendance of the 34th Sadc Summit slated for August 17 to 18 in Victoria Falls. President Mugabe, who is set to assume the Sadc chair at the summit, opened a zanu-pf...

 

10 years ago

TheCitizen

SADC owes founders a great deal: Mugabe

>The incoming chairman of the Southern African Development Community (SADC), Zimbabwe President Robert Mugabe, yesterday said the region has not done enough to honour its founders.

 

10 years ago

Michuzi

Mwanafunzi wa Tanzania Aibuka mshindi wa Kwanza Tuzo ya Isha SADC, Rais Mugabe amtunuku Brigedia Jenerali(Mstaafu) Hashim Mbita

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Steven Mtwanga(16) anayesoma katika shule ya sekondari Naboti Makambako,Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa insha katika shindano lililoandaliwa na Jumuiya ya uchumi ya maendeleo kusini mwa Afrika(SADC).Rais Kikwete alimpongeza mwanafunzi huyo wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa kitalii wa Victoria Falls, nchini Zimbabwe ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE, MUGABE AKABIDHI RASMI CHUO CHA UTUNZAJI AMANI

 Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, akimkabidhi Katibu Mtendaji wa SADC, Dkt Stargomena Tax, mfano wa funguo kama ishala ya makabidhiano ya Kituo cha Mafunzo ya Utunzaji Amani katika nchi za SADC, wakati wa Mkutano wa dharura uliofanyika jana Aprili 29, 2015 kwenye Hoteli ya Rainbow jijini Harare, Zimbabwe.Kufuatia makabidhiano haya, Chuo hiki sasa kitakuwa kinamilikiwa na SADC na matumizi yake yatahusisha vyombo na wataalamu mbalimbali wanaohusika na masuala ya utunzaji amani ndani ya nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani