'Mutungi tuombee tufanye mikutano'
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Mtwara, Kassim Bingwe, amemuomba msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kuzungumza na serikali ili ione umuhimu wa kusitisha amri yake ya marufuku ya mikutano ya hadhara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania